Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo raha, unamkoa makonzi ya utosiMkilingana urefu bado haipendezi
Utashindwa kuvaa mchuchumio maana ukivaa tu unamvuka
Muulize amewaoa hao? Msije changanya kunyanduana na serious matters kama ndoamzabzab cheki huyu mtu ni mfano mmoja tu hapa usikaze fuvu ndugu
Ndo assume sasa wewe una 5’3 sasa utafute wa chini yako atakuaje [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndo raha, unamkoa makonzi ya utosi
Ok kwenye ndoa ni jambo lingine kabisaMuulize amewaoa hao? Msije changanya kunyanduana na serious matters kama ndoa
[emoji23][emoji23][emoji23]Hata ukijiamini wewe, yeye hatakuamini. [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo tuwanase makonzi kwenye mabichwa komwe
Haipendezi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni ada kwa bichwa komwe kugongwa makonzi ya haja.
Unaachaje kwa mfano [emoji851]
Hili hapa [emoji851][emoji851][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu weka kwanza bichwa tulione
na vinajua kuhonga siyo vichoyo kama sisi warefuWatu wafupi Wanajua kupenda sababu mioyo Yao ipo karibu sana na organs zingine 😂😂😂
Moja ya hasara kubwa kwa mwanamume ni kutojiamini mbele ya mwanamke na kutojua thamani na maana ya uanamume wake mbele ya mwanamke......
Hakuna mwanamke mwenye ujanja mbele ya mwanamume anayejiamini na kutambua thamani na nafasi yake mbele ya mwanamke hata kama uwe mfupu kama jagi.....