Mwanaume unapata wapi ujasiri wa kumuoa Mwanamke mrefu kukuzidi?

Mwanaume unapata wapi ujasiri wa kumuoa Mwanamke mrefu kukuzidi?

Habarini wadau,

Ramadhan Kareem to all Muslim in here...!

Wewe ni mwanaume mfupi, Andunje, Nyadundo kama mimi, kwanini una kiherehere cha kuoa Mwanamke mrefu kukuzidi? Mwanamke akikuzidi urefu ni sawa na kukuzidi akili. Kwanza hata wenyewe hawatupendi Wanaume wafupi

Huu ni utafiti rasmi kwa dunia nzima na references zipo, sijawahi kusikia Mwanamke anasema anapenda mwanaume mfupi hasa mwenye kitambi

Kwanza kumpata lazima uwe na pesa. Na yeye atakukubali kwa pesa zako ila sio kwa sura yako, umbo, na caring nyingine yoyote.

- Mwanamke Mrefu ukipiga naye picha utakosa hata confidence na hataipenda hiyo picha....kifupi picha itakuwa mbayaa

- Mwanamke Mrefu kukuzidi hata kutembea nae au kwenda nae popote hata kama mmependeza vipi utakosa confidence nayeye hatafurahia hilo [emoji23]

- Mwanamke mrefu kukutambulisha kwa wenzie au kwa ndugu zake halafu kama umekaa ukaambiwa usimame kuna watakaoanza kukucheka, watasema ana hela lakini......blah blah kibao

- Mwanamke Mrefu kukuzidi hata mkilala kitandani na wakati wa sex na kuchange positions...hahaha sisemi zaidi

- Mwanamke mrefu kukuzidi siku mkizinguana atapata sababu ya kukusema vibaya au kukutania katika jamii

- Mwanamke mrefu kukuzidi siku mkigombana ataweza kukupiga, hasa makonzi [emoji23]

NB: Kama wewe mfupi usimuoe mwanamke mrefu kukuzidi hasa kuanzia 8 Inches na kuendelea mpaka futi kadhaa, muoe mfupi ili uenjoy mapenzi na kuwa huru katika maamuzi na mitoko mbalimbali

Shauri yenu Andunje wenzangu muonekane Watoto mbele ya wake zenu.


====
Pia soma: Mwanaume mfupi kumuoa mwanamke mrefu
Aisee
 
Ngoja nikusaidie au nikujazie jambo ili mada yako iwe na uzito. Mwanamke mrefu kibailojia huanzia futi 5. The desired height au kimo cha urefu ambacho ni standard ya uzuri kwa mwanamke ni kuanzia futi tano kamili hadi futi 5.9 asizidi hapo.

Mwanamke akiwa na kuanzia futi 6 hata wao wenyewe huwa hawafurahii kimo chao sababu kinawatoa katika muonekano wa mwanamke wa kawaida na kundi la wanawake wa kuanzia futi 6 wengi wao hawavutiwi na wanaume warefu kwa maana ya futi sita kwenda juu bali huvutiwa na wanaume wafupi au wanaolingana nao kimo. Hii ipo na ni scientific fact.

So kwenye hii mada yako kama umemaanisha hawa wadada wa urefu wa kuanzia futi 5 hadi 5.9 then hawa ni kawaida sana sababu on average huo ndio urefu wa mwanaume wanaume wengi ni kuanzia 5.5 kwenda juu wengi sana. Mwanaume akiwa below futi 5.5 huyu ni mfupi so mwanamke wa urefu kuanzia futi 5 kwenda hadi futi 5.9 huwa hawezi vutiwa na mwanaume below futi 5.5.

Ila kama unasema wale wanawake wa kuanzia 5.9 hadi futi 6.9 hao huvutiwa na wanaume wa average height ya mwanaume yaani from futi 5.5 and above but not more than futi 6.5 maana. Wanachangamoto zao ndio maana huwa hawapendi.

Kwa mwanamke huwa anakuwa comfortable zaidi na mwanaume mwenye zile sifa zinazokubalika zaidi katika jamii zote na kuonekana ni standards za kumdefine mwanaume.
Umeeleza kitaalamu sana.

Sijui kama haya MABICHWA KOMWE ya humu yatakuewa!
 
Umenikumbusha,Kuna Mdada Flani Muda Umepita Kidogo Alitoa Mimba,Kisa ni Mimba Ya Mwanaume Mfupi.Akasema Siwezi zaa na Mwanaume Mfupi Mimi.
Akawa Na Uhusiano wa Mwanaume nikimkadiria 6'3 Feet hivi Huyo jamaa.Na yy alikuwa around 5'5 Hivi.
Cha ajabu Wamezaa Mtoto Mfupi,Huyo Mtoto Ni Kibinti sasa.sidhan Hata Kama anafika 5'0 urefu.

Kweli Karma Inafanya Kazi
 
Nilishawahi Kuwa Na Uhusiano Na Mwanamke Kanizid Kimo ingali Ni Kidogo,Akisimama Vibaya Ni Kama tuko sawa.Aliniheshimu,Alinipenda Alikuwa akiniambia Ananipendea Ufupi wangu,Na Nilikuwa nikimuuliza Kuhusu Height alikuwa Akisema haoni Kasoro yoyote Kwenye Urefu wangu yeye Anaona Ni sawa tu,Tena Hata huwa hafikirii kabisa Kabisa Ufupi Wangu.
Tunataniana,Ila sharti hakuna kuvaa High heels.
Ananitambulisha Kwa friends zake,Ingali Nilikuwa Insecure Because of My Height lakn Yy Hakujal,Aliniita Akiwa na rafk Zake.

Kilichonifanya niachane Na Huyo msichana Ni insecurity Yangu.Nilikuwa sijiamini Kabisa tukiwa Tunatembea,Nilihisi Kama Labda namkera,Hanipendi Labda ananitumia tu.Lakini Ni khofu Yangu tu Kumbe.Nikamuacha Eti Kwa Visingizio Fulani(Ingal Bado namkumba mpaka Leo)Lakin kwangu naona Sawa kwa sababu Nilikuwa Insecure Nikiwa Nae.

Naungana Na wewe Mtoa Mada.Kama mwanaume mfupi Kuwa Na Msichana Wa Kulingana Nae au Umempita Kidogo,Mtaheshimiana
Maisha yenyewe mafupi,Kuhusu Watoto Mungu Ndo Mpaji.Ila kikubwa Heshima Iwepo.
 
Back
Top Bottom