Awiaman ooza
JF-Expert Member
- Mar 25, 2023
- 512
- 866
Mkuuu acha tu ni visirani hatari 🤢🤢🤢🤮🤮Hapo kwny ubishan sas ndo hatr Mana wanaume wengi wafupi ni wabishi kupindukia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuuu acha tu ni visirani hatari 🤢🤢🤢🤮🤮Hapo kwny ubishan sas ndo hatr Mana wanaume wengi wafupi ni wabishi kupindukia
😂😂😂😂😂😂😢😂😂😂😂Ngoja nikusaidie au nikujazie jambo ili mada yako iwe na uzito. Mwanamke mrefu kibailojia huanzia futi 5. The desired height au kimo cha urefu ambacho ni standard ya uzuri kwa mwanamke ni kuanzia futi tano kamili hadi futi 5.9 asizidi hapo.
Mwanamke akiwa na kuanzia futi 6 hata wao wenyewe huwa hawafurahii kimo chao sababu kinawatoa katika muonekano wa mwanamke wa kawaida na kundi la wanawake wa kuanzia futi 6 wengi wao hawavutiwi na wanaume warefu kwa maana ya futi sita kwenda juu bali huvutiwa na wanaume wafupi au wanaolingana nao kimo. Hii ipo na ni scientific fact.
So kwenye hii mada yako kama umemaanisha hawa wadada wa urefu wa kuanzia futi 5 hadi 5.9 then hawa ni kawaida sana sababu on average huo ndio urefu wa mwanaume wanaume wengi ni kuanzia 5.5 kwenda juu wengi sana. Mwanaume akiwa below futi 5.5 huyu ni mfupi so mwanamke wa urefu kuanzia futi 5 kwenda hadi futi 5.9 huwa hawezi vutiwa na mwanaume below futi 5.5.
Ila kama unasema wale wanawake wa kuanzia 5.9 hadi futi 6.9 hao huvutiwa na wanaume wa average height ya mwanaume yaani from futi 5.5 and above but not more than futi 6.5 maana. Wanachangamoto zao ndio maana huwa hawapendi.
Kwa mwanamke huwa anakuwa comfortable zaidi na mwanaume mwenye zile sifa zinazokubalika zaidi katika jamii zote na kuonekana ni standards za kumdefine mwanaume.
Daaaah 😂😂😂😂😂Nilikuwa napenda hiki kipindi cha mbilikimo, Little People Big World cha TLC..
Huyo msichana kaolewa na mbilikimo...
Nachosikitika watoto wao wote watatu wametokea mbilikimo
View attachment 2567504View attachment 2567505
DaaaahUmenikumbusha,Kuna Mdada Flani Muda Umepita Kidogo Alitoa Mimba,Kisa ni Mimba Ya Mwanaume Mfupi.Akasema Siwezi zaa na Mwanaume Mfupi Mimi.
Akawa Na Uhusiano wa Mwanaume nikimkadiria 6'3 Feet hivi Huyo jamaa.Na yy alikuwa around 5'5 Hivi.
Cha ajabu Wamezaa Mtoto Mfupi,Huyo Mtoto Ni Kibinti sasa.sidhan Hata Kama anafika 5'0 urefu.
Kweli Karma Inafanya Kazi
Wee alikudanganya nani kuwa utapata real love toka kwa mwanamke apart from ur mamaThats called fake love hongera simp lakini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata ukijiamini wewe, yeye hatakuamini. [emoji23]
Mkilingana urefu bado haipendeziKweli kabisa angalau kidogo mkilingana urefu sio mbaya
Kwa kweli hazipendeziMtoa mada una hoja usikilizwe, mie kiukweli mwanaume naemzidi kimo simtaki sitamuheshimu, na wala hizo couple hazipendezi, home zipo couple kibao za hivyo ila sizielewagi
Mmh mbona napendwa na kuheshimiwa mkuu ingali bado sijaanza maisha nipo chuo tu ila kuna wanawake wananipenda na sijawahi spend hata 1$ kwao hii imekaaje aseee 🤔🤔Wee alikudanganya nani kuwa utapata real love toka kwa mwanamke apart from ur mama
Hmmh huu ufupi wa futi 4 mbona balaa sasa, nimejikuta nacheka [emoji1].Wewe let say mi mfupi wa futi 4 sasa nioe wa aje apo si ntaoa imolo mzee wangu
Mzabzab we kila pisi ya humu unaitunuku uzuri tu, na machozi unalia kama hivyo ikikunyima?Kwa hiyo sie andunje ndio hatuoaswi kukojolea pazuri[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
"na sisi warefu kuanzia futi 6"[emoji1]Hamna kitu Kama hicho acheni kuishi katika illusion
Mfano hapa watz 90% wote ni wafupi, na sisi warefu Kuanzia Futi sita hatuzidi hata 2% so kwa mantiki hiyo Hakuna kuoa/ kuolewa
Aiseeh[emoji23]Watu wafupi Wanajua kupenda sababu mioyo Yao ipo karibu sana na organs zingine [emoji23][emoji23][emoji23]
ukiona hivyo ujue maumbile nyeti ni mrefu ndiyo sababu amependwaHabarini wadau,
Ramadhan Kareem to all Muslim in here...!
Wewe ni mwanaume mfupi, Andunje, Nyadundo kama mimi, kwanini una kiherehere cha kuoa Mwanamke mrefu kukuzidi? Mwanamke akikuzidi urefu ni sawa na kukuzidi akili. Kwanza hata wenyewe hawatupendi Wanaume wafupi
Huu ni utafiti rasmi kwa dunia nzima na references zipo, sijawahi kusikia Mwanamke anasema anapenda mwanaume mfupi hasa mwenye kitambi
Kwanza kumpata lazima uwe na pesa. Na yeye atakukubali kwa pesa zako ila sio kwa sura yako, umbo, na caring nyingine yoyote.
- Mwanamke Mrefu ukipiga naye picha utakosa hata confidence na hataipenda hiyo picha....kifupi picha itakuwa mbayaa
- Mwanamke Mrefu kukuzidi hata kutembea nae au kwenda nae popote hata kama mmependeza vipi utakosa confidence nayeye hatafurahia hilo [emoji23]
- Mwanamke mrefu kukutambulisha kwa wenzie au kwa ndugu zake halafu kama umekaa ukaambiwa usimame kuna watakaoanza kukucheka, watasema ana hela lakini......blah blah kibao
- Mwanamke Mrefu kukuzidi hata mkilala kitandani na wakati wa sex na kuchange positions...hahaha sisemi zaidi
- Mwanamke mrefu kukuzidi siku mkizinguana atapata sababu ya kukusema vibaya au kukutania katika jamii
- Mwanamke mrefu kukuzidi siku mkigombana ataweza kukupiga, hasa makonzi [emoji23]
NB: Kama wewe mfupi usimuoe mwanamke mrefu kukuzidi hasa kuanzia 8 Inches na kuendelea mpaka futi kadhaa, muoe mfupi ili uenjoy mapenzi na kuwa huru katika maamuzi na mitoko mbalimbali
Shauri yenu Andunje wenzangu muonekane Watoto mbele ya wake zenu.
====
Pia soma: Mwanaume mfupi kumuoa mwanamke mrefu
😂😂😂Aiseeh[emoji23]
Kumbe bado upo chuo...ebu anz life alafu utatuambiaMmh mbona napendwa na kuheshimiwa mkuu ingali bado sijaanza maisha nipo chuo tu ila kuna wanawake wananipenda na sijawahi spend hata 1$ kwao hii imekaaje aseee 🤔🤔
Ok sawa mkuuu 👌😊Kumbe bado upo chuo...ebu anz life alafu utatuambia
Hmmh huu ufupi wa futi 4 mbona balaa sasa, nimejikuta nacheka [emoji1].
Ufupi wa kawaida ni kuanzia futi 5'2 , kinyume na hapo ni kuwa omoro sasa.