Awiaman ooza
JF-Expert Member
- Mar 25, 2023
- 512
- 866
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anko ni mtu mwema sana na anapendwa sana na warembo.Samahani kwa kuuliza huyo mkewe alimpendea nn mkuu 🤔
Mtu mwema kivipi embu dadavua mkuu 🤔Anko ni mtu mwema sana na anapendwa sana na warembo.
Ni kipindi hiki ameanza kuzeeka ndio katulia.
So ana mvuto wa aina yake...alikuwa akitafuna sana warembo
Hv masanja na monica nan mrefu?Nioneshe Couples za Mwanaume Mfupi na Mwanamke mrefu halafu Mwanamke atambe na kumsifia mumewe popote duniani
Nakusubiri hapa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha..
Binadamu tuna maigizo ambayo dunia wala haijali. Inatupa nafasi ya kuishi kama viumbe wengine tu kisha tunakufa.
Wakati tunahangaika na kimo, weupe, unene Nature ipo busy ikituhesabia muda... ni Tik tok, Tik tok, Tik tok. Kaburi hili hapa mwisho wa igizo.
Kwakweli mke mrefu kuzidi mume hanogiDaaaah unamuelezea mwl wangu wa chem A level yupo hivihivi 😅
😂😂😂😂😂umenchekesha Yaan hiyo kitu ni kisaikolojia zaidi mtu mfupi always hajiamini ndo maana unakuta anakua mwongeaj sana ujuaj mwingi ubishiKuna dogo ninasoma chuo na A level nilisoma nae ni mbishi kinoma anaongea kama cherehani daah
Aise watu wafupi ni shida kuliko shida yenyewe duuh
Me hayo sijui na wala sijazungumzia inshort wanaume wafupi wote wauwawe 😂😂Sasa Mtu amejitengeeza ili awe mfupi ?
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]Mtu mzima na madevu yake huku Ana urefu wa stuli mbili.
Me mfupi ila wanawake wote niliodate nao ni warefu.ni kujiamini tu...
Umeolewa na ANDUNJE?[emoji1787][emoji2960]