Mwanaume unapata wapi ujasiri wa kumuoa Mwanamke mrefu kukuzidi?

Mwanaume unapata wapi ujasiri wa kumuoa Mwanamke mrefu kukuzidi?

Hahaha..
Binadamu tuna maigizo ambayo dunia wala haijali. Inatupa nafasi ya kuishi kama viumbe wengine tu kisha tunakufa.

Wakati tunahangaika na kimo, weupe, unene Nature ipo busy ikituhesabia muda... ni Tik tok, Tik tok, Tik tok. Kaburi hili hapa mwisho wa igizo.
 
Back
Top Bottom