Ntakuzibua
JF-Expert Member
- Oct 3, 2018
- 714
- 1,253
Mwanaume ukiwa mfupi hata watoto wadodgo wanakudharau unakuta kamwanaume kafupi ,kanakitambi Raha ya mwanaume uwe tall alaf wafupi wana gubu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Mtu amejitengeeza ili awe mfupi ?Mwanaume ukiwa mfupi hata watoto wadodgo wanakudharau unakuta kamwanaume kafupi ,kanakitambi Raha ya mwanaume uwe tall alaf wafupi wana gubu sana
Una kimo gani...tuanzie hapo.Mtoa mada una hoja usikilizwe, mie kiukweli mwanaume naemzidi kimo simtaki sitamuheshimu, na wala hizo couple hazipendezi, home zipo couple kibao za hivyo ila sizielewagi
Sio wewe tu, ingia kwny Opera news za Wazungu sasa....!Mtoa mada una hoja usikilizwe, mie kiukweli mwanaume naemzidi kimo simtaki sitamuheshimu, na wala hizo couple hazipendezi, home zipo couple kibao za hivyo ila sizielewagi
Kuna dogo ninasoma chuo na A level nilisoma nae ni mbishi kinoma anaongea kama cherehani daahMwanaume ukiwa mfupi hata watoto wadodgo wanakudharau unakuta kamwanaume kafupi ,kanakitambi Raha ya mwanaume uwe tall alaf wafupi wana gubu sana
Wanasemaga wanaume wafupi ni good husband material huwa sielewagi kwannHamna kitu Kama hicho acheni kuishi katika illusion
Mfano hapa watz 90% wote ni wafupi, na sisi warefu Kuanzia Futi sita hatuzidi hata 2% so kwa mantiki hiyo Hakuna kuoa/ kuolewa
hata wakwangu kanizidi urefu na niko comfortableHachapiwi kweli???
Anachapiwa sana tu mkuuuHachapiwi kweli???
Sio kwamba hakuna waliooana. Wapo lakini na Dharau ipo pia katika hizo ndoaHamna kitu Kama hicho acheni kuishi katika illusion
Mfano hapa watz 90% wote ni wafupi, na sisi warefu Kuanzia Futi sita hatuzidi hata 2% so kwa mantiki hiyo Hakuna kuoa/ kuolewa
😂😂😂Unaweza kuwa Andunje ukatafuta mrefu ili ubalance ukashangaa unapata mtoto mfupi zaidi amechukua kwa babu au bibi yako Mwanaume [emoji23]
Kuanzia leo wewe nakutunuku udaktari ( doctorate) wa heshima.Moja ya hasara kubwa kwa mwanamume ni kutojiamini mbele ya mwanamke na kutojua thamani na maana ya uanamume wake mbele ya mwanamke......
Hakuna mwanamke mwenye ujanja mbele ya mwanamume anayejiamini na kutambua thamani na nafasi yake mbele ya mwanamke hata kama uwe mfupu kama jagi.....
Watu wafupi Wanajua kupenda sababu mioyo Yao ipo karibu sana na organs zingine 😂😂😂Wanasemaga wanaume wafupi ni good husband material huwa sielewagi kwann
Alafu hapo kwa ft 6 kuendelea juuu sio 2% ni 1% asee bongo andunje ni wengi kupita maelezo 😂😂