Mwanaume unapata wapi ujasiri wa kumuoa Mwanamke mrefu kukuzidi?

Mwanaume unapata wapi ujasiri wa kumuoa Mwanamke mrefu kukuzidi?

Mwanaume ni mwanaume tu, haijalishi kimo chake, labda awe dhaifu tu ktk hali ya kawaida ambayo hata mtu mrefu wapo wenye udhaifu, ila Mwanaume hata akilingana na kile kiti Cha plastic Cha kwenye bar, bado uwezo wake ni wa ajabu wa kiume
 
Back
Top Bottom