The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Yeeeerrrrreeeeh!
Yani inasikitisha sana hii trend siku hizi wanaume tumebaki wachache sana.
Mwanaume unatakiwa kudhibiti hisia na uwoga.
Unakuwa Imara na thabiti kwa kila aina ya changamoto inayokukabili.
Hutakiwi kulia hovyohovyo hadharani misibani huko.
Mwanamme unatakiwa kuwa na kifua siyo mropokaji tu. Ukiminywa kidogo unakuwa ufunuo
Nyau de adriz
Yani inasikitisha sana hii trend siku hizi wanaume tumebaki wachache sana.
Mwanaume unatakiwa kudhibiti hisia na uwoga.
Unakuwa Imara na thabiti kwa kila aina ya changamoto inayokukabili.
Hutakiwi kulia hovyohovyo hadharani misibani huko.
Mwanamme unatakiwa kuwa na kifua siyo mropokaji tu. Ukiminywa kidogo unakuwa ufunuo
Nyau de adriz