Mwanaume unatakiwa ule nini ili utoe shahawa za twins au triplets, Je, kisayansi vyakula gani pia mwanamke inabidi ale

Mwanaume unatakiwa ule nini ili utoe shahawa za twins au triplets, Je, kisayansi vyakula gani pia mwanamke inabidi ale

Mwanamke ndo anaesababisha Kuwepo kwa Mapacha Mkuu, hizi post ndo zinatumika kupima uwezo wa akili wa jamii yetu ya Tanzania na tunaandikwa kwenye platform za kimataifa kama mbumbuheadz tusio na akili za kueleweka.
Sometimes kabla hujapost "unyevunyevu" wa ubongo wako uwe unauliza hata majirani walioko karibu na wewe.
Alafu pipo like you ndo daily mnawadiss walimu wenu kwamba wanatumika na Wanasiasa kipuuzi..
Next time tumia tafsida.. Mbumbu head!!
 
Mapacha mwanamke ndo anawaleta, aidha yai moja lipasuke na kugawanyika hapa utawapata wanaofanana au shawawa zikakute kuna mayai mawili hapa utapata wasiofanana
sio lipasuke japo umetumia neno Kali Sana ligawanyike mara mbili na kila nusu ikue kivyake
 
Kuna mfanyakazi wa azam amezaa mapacha wanne.

Madaktari na wanasaikolojia, Mimi na wana jamiiforum wenzangu tumesubscribe uzi na tuna popcorn tayari kusikiliza majibu.
Mimi ninachojua kama unataka kutoa shahawa nzito, unakunywa juice ya Vitunguu majia, vilivyochanganywa na limao unaweka na asali. Unakunywa kwa siku mara mbili asbh na jioni ukizidi yaan mboo inakuwa juuu juu tuu na utajikuta unachafua tu mashuka. mzabzab na Tumwesige senior nitawatengenezea jamani maana nina wapenda kuliko maelezo jaman, Ijumaa nitawapeleka mahali mkale na tufurahi
 
Kuna mfanyakazi wa azam amezaa mapacha wanne.

Madaktari na wanasaikolojia, Mimi na wana jamiiforum wenzangu tumesubscribe uzi na tuna popcorn tayari kusikiliza majibu.
1734372824093.jpeg
 
Back
Top Bottom