NACKO
JF-Expert Member
- Oct 27, 2022
- 1,298
- 2,514
ndo division one zilizojaa mtaani huku sikuhizi,....🚮🚮Kama div 1 na A yenyewe ndo wewe basi wazaz wako waliuza mbuzi ili wasomeshe mbuzi nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo division one zilizojaa mtaani huku sikuhizi,....🚮🚮Kama div 1 na A yenyewe ndo wewe basi wazaz wako waliuza mbuzi ili wasomeshe mbuzi nyingine
Poa kwingine upo sahihi Sana kwa mapacha wasiofanana yaani ovary zote zitoe mayai kwa mara moja (hyper ovulation) na hii uwa inatokea Sana kwa wanawake wanaotumia fertility drugs, dawa za kubusti kizazi! au wanawake wenye umri kuanzia 30+ maana follical stimulating hormone (FSH) huwa inaongezeka kadri muda unavoendeleaYeah nilikuwa na maana hiyo mkuu, asante kwa marekebisho kidogo
Kupata vichekesho kama vyako nime subscribe.Wewe nina div 1, yenye A ya Biology ndigili wewe, Hapa nasemea kwa lifestyles ya kileo wenzetu wanawezaje ?
Ila jamn kiukweli nazipenda zile za walevi yaan tamu kKuna mfanyakazi wa azam amezaa mapacha wanne.
Madaktari na wanasaikolojia, Mimi na wana jamiiforum wenzangu tumesubscribe uzi na tuna popcorn tayari kusikiliza majibu.
Kwa msosi huu lazima na zenyewe ziwe tamu jaman hadi raha full nutrients
Nimecheka juu na chini kwa kweliKupata vichekesho kama vyako nime subscribe.
Umesema una A ya biology,..wapi imeandikwa kuwa chakula au hali fulani ya psychology inachangia kuzaa mapacha?...🚮🚮Toa fact ya vyakula na saikolojia ya uzazi achana na elimu za watu hazikusaidii chochote
Tundazuri asante kwa ofa yako,hiyo ijumaa nibebe niniMimi ninachojua kama unataka kutoa shahawa nzito, unakunywa juice ya Vitunguu majia, vilivyochanganywa na limao unaweka na asali. Unakunywa kwa siku mara mbili asbh na jioni ukizidi yaan mboo inakuwa juuu juu tuu na utajikuta unachafua tu mashuka. mzabzab na Tumwesige senior nitawatengenezea jamani maana nina wapenda kuliko maelezo jaman, Ijumaa nitawapeleka mahali mkale na tufurahi
Jamaa itakuwa alikuwa ni mzee wa baka benchaWakati sisi tunasoma biology ww ulikuwa unaandika michapio ya mwalimu, sahv unaanz kusema kuna shahawa za kutoa mapacha na triplets
Kuna mfanyakazi wa azam amezaa mapacha wanne.
Madaktari na wanasaikolojia, Mimi na wana jamiiforum wenzangu tumesubscribe uzi na tuna popcorn tayari kusikiliza majibu.
🤣🤣🤣 daah 🙌Kama div 1 na A yenyewe ndo wewe basi wazaz wako waliuza mbuzi ili wasomeshe mbuzi nyingine
Mimi ninachojua kama unataka kutoa shahawa nzito, unakunywa juice ya Vitunguu majia, vilivyochanganywa na limao unaweka na asali. Unakunywa kwa siku mara mbili asbh na jioni ukizidi yaan mboo inakuwa juuu juu tuu na utajikuta unachafua tu mashuka. mzabzab na Tumwesige senior nitawatengenezea jamani maana nina wapenda kuliko maelezo jaman, Ijumaa nitawapeleka mahali mkale na tufurahi
Hii itakusaidia licha ya majivuno ya Div 1! Vipi bado unaamini kupata Div 1 ndiyo kuwa na akili?? Wewe hapo unahisi una akili??Kuna mfanyakazi wa azam amezaa mapacha wanne.
Kigezo umri sio mlo fika 40 mwaga mbegu lazima uzalishe tripletsKuna mfanyakazi wa azam amezaa mapacha wanne.
Madaktari na wanasaikolojia, Mimi na wana jamiiforum wenzangu tumesubscribe uzi na tuna popcorn tayari kusikiliza majibu.