Mwanaume unatakiwa ule nini ili utoe shahawa za twins au triplets, Je, kisayansi vyakula gani pia mwanamke inabidi ale

Kuna mfanyakazi wa azam amezaa mapacha wanne.

Madaktari na wanasaikolojia, Mimi na wana jamiiforum wenzangu tumesubscribe uzi na tuna popcorn tayari kusikiliza majibu.
Mchanga wa pwani uliochanganywa na kinyesi cha samaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…