Mwanaume unaweza kudai haki yako ya kulea mtoto siyo wako ukitambua ana baba mwingine?

Mwanaume unaweza kudai haki yako ya kulea mtoto siyo wako ukitambua ana baba mwingine?

Joined
Jun 8, 2016
Posts
13
Reaction score
23
Habari wana JamiiForums,

Napenda kujua kama kuna uwezekano wakwenda mahakamani kudai haki endapo umelea ujauzito mpaka kujifungua kwa mtoto ukiamini ni wako mpaka mtoto anakuwa mkubwa unambiwa mtoto sio wako na baba wa mtoto anakuja kujulikana.

Je, kuna taratibu gani za kupata haki zako za kumtunza huyo mtoto?
Je, kipi kifanyike au unatakiwa uende wapi kupata hiyo haki?
 
Duhh! Patamu hapo, ngoja kataa ndoa waje kukushauri
Hamna Cha ushauri. Mtoto au mimba sio kitu cha kung'ang'ania kwa Mwanaume.
Mtoto kama ni wako atakutafuta mwenyewe.
Mtu unaliliaje mimba????? Achana na huyo mwanamke.
Mwanaume aliyekamilika hapaswi kujifanya analilia watoto.
Jiandalie maisha Yako ya uzeeni, ukiwa vizuri utatunzwa Kwa Raha mustarehe na Hela Yako.
 
hio case itakua ngumu na utashindwa .
watafanya DNA test kweli ataonekana mtoto si wako

watakuja kwenye gharama ulizotumia watakosa ushahidi ulionyooka mwishowe watasema mkae myamalize manake kesi numeshindwa tayari
 
hio case itakua ngumu na utashindwa .
watafanya DNA test kweli ataonekana mtoto si wako

watakuja kwenye gharama ulizotumia watakosa ushahidi ulionyooka mwishowe watasema mkae myamalize manake kesi numeshindwa tayari
Duh kwahiyo kama ulimsomesha je hiyo gharama hauwezi kulipwa
 
Ngoja wanasheria waje kukujuza
Habari wana JamiiForums,

Napenda kujua kama kuna uwezekano wakwenda mahakamani kudai haki endapo umelea ujauzito mpaka kujifungua kwa mtoto ukiamini ni wako mpaka mtoto anakuwa mkubwa unambiwa mtoto sio wako na baba wa mtoto anakuja kujulikana.

Je, kuna taratibu gani za kupata haki zako za kumtunza huyo mtoto?
Je, kipi kifanyike au unatakiwa uende wapi kupata hiyo haki?
 
Wanasheria npo wapi maan tupo wengi wenye kesi kama izii ingawa hatuongei
Sasa umeshajua pasina shaka kwamba ulipigiwa na mtoto sio wako, maana yake kuna mwanaume mwingine alibana tako akamwagia ndani akazaliwa huyo mtoto, halafu bado tu unamng'ang'ania
 
Sasa umeshajua pasina shaka kwamba ulipigiwa na mtoto sio wako, maana yake kuna mwanaume mwingine alibana tako akamwagia ndani akazaliwa huyo mtoto, halafu bado tu unamng'ang'ania
Jobless over stress equal to death ahahaha
 
Ukipotezea utakuwa masta zaidi kuliko kudai. Huo muda wa kufuatilia makesi si ungetumia kutafuta hela
Nadhan Huu ujinga ndo unawafelisha wengi wenu.

Demu kakuambia ana Mimba yako, umelea, kazaa, umesomesha, pengine Hadi Kawa mkubwa kwelikweli, Pesa mingi umetumia, alafu mwisho Baba mzazi anaonekana.


Yaan ukoswe mtoto, na Ukoswe na Fidia??
 
Sasa umeshajua pasina shaka kwamba ulipigiwa na mtoto sio wako, maana yake kuna mwanaume mwingine alibana tako akamwagia ndani akazaliwa huyo mtoto, halafu bado tu unamng'ang'ania
Acha kuongea kijinga Jinga .

Unajua maana ya kuishi na mwanamke anabeba mimba, unalea, anazaa, unalea, unasomesha, mtoto anakua mkubwa, ndo Baba mzazi anajitokeza??.

Hiyo ni tofauti na kujua mwanamke ana mimba ya MTu mwingine, alafu wewe ukaamua kukomaa naye tu.
 
Acha kuongea kijinga Jinga .

Unajua maana ya kuishi na mwanamke anabeba mimba, unalea, anazaa, unalea, unasomesha, mtoto anakua mkubwa, ndo Baba mzazi anajitokeza??.

Hiyo ni tofauti na kujua mwanamke ana mimba ya MTu mwingine, alafu wewe ukaamua kukomaa naye tu.
Sasa baba mzazi atachukuaje mtoto wake bila kujitokeza, Baba mzazi hapangiwi muda wa kujitokeza anaamua yeye,

kulea mtoto wa mtu hakufanyi huyo mtoto awe wako, hapo anaetakiwa amkatae Baba yake mzazi ni mtoto ila sio wewe kung'ang'ania mtoto.
 
wale wa 50 kwa 50 wataona kama sio mwanaume kamili, wanajificha kwenye kichaka hicho lakini kiuhalisia huo ni uhujumu na utapeli, wanaofanya wanawake.

Wanasheria wake tu waeleze kama kipengele hiki hakipo wakiweke maana unakuta mtu umekomaa ukijua huyu mwanangu halafu baadaye baba yake anatoka mafichoni hii haijakaa sawa hata kidogo
 
Back
Top Bottom