Mwanaume unaweza kudai haki yako ya kulea mtoto siyo wako ukitambua ana baba mwingine?

Mwanaume unaweza kudai haki yako ya kulea mtoto siyo wako ukitambua ana baba mwingine?

Paternity fraud, hili lifanyiwe kazi. Utapeli wa wanawake kubambikia wanaume mimba halifai hata kidogo. Unalea mimba, then mtoto hadi alike chuo, ten linakuja limtu kuclsim mtoto. Gharama ulizotumia nani anafidia?
 
Habari wana JamiiForums,

Napenda kujua kama kuna uwezekano wakwenda mahakamani kudai haki endapo umelea ujauzito mpaka kujifungua kwa mtoto ukiamini ni wako mpaka mtoto anakuwa mkubwa unambiwa mtoto sio wako na baba wa mtoto anakuja kujulikana.

Je, kuna taratibu gani za kupata haki zako za kumtunza huyo mtoto?
Je, kipi kifanyike au unatakiwa uende wapi kupata hiyo haki?
ndio unayo hiyo haki
 
Habari wana JamiiForums,

Napenda kujua kama kuna uwezekano wakwenda mahakamani kudai haki endapo umelea ujauzito mpaka kujifungua kwa mtoto ukiamini ni wako mpaka mtoto anakuwa mkubwa unambiwa mtoto sio wako na baba wa mtoto anakuja kujulikana.

Je, kuna taratibu gani za kupata haki zako za kumtunza huyo mtoto?
Je, kipi kifanyike au unatakiwa uende wapi kupata hiyo haki?
Muonyeshe huyo mama wa mtoto uanaume!
 
Kwanini msiishi na watoto kama ambavyo mngeweza kuishi na watu wengine tu baki?
Hivi vitu tunavyoviacha duniani hivi kilasiku bado hatujifunzi kuwa kilakitu tunachokipigania hakuna hata kimoja tutaenda nacho kaburini
 
Habari wana JamiiForums,

Napenda kujua kama kuna uwezekano wakwenda mahakamani kudai haki endapo umelea ujauzito mpaka kujifungua kwa mtoto ukiamini ni wako mpaka mtoto anakuwa mkubwa unambiwa mtoto sio wako na baba wa mtoto anakuja kujulikana.

Je, kuna taratibu gani za kupata haki zako za kumtunza huyo mtoto?
Je, kipi kifanyike au unatakiwa uende wapi kupata hiyo haki?

Umeandika vitu vingi, swali: Ulimlea na sasa umejua si wako unataka kudai ? Au unamlea na una wasiwasi huko baadae Utakuja kujua sio wako?
 
Duh kwahiyo kama ulimsomesha je hiyo gharama hauwezi kulipwa
Fanya kama sadaka ila pia hata huyo mtoto kama ni mkubwa basi anatambua mchango wako na yawezekana anakuthamini kuliko hata huyo baba yake maana kama mtoto hujamlea bond hamna kiivo.Kwa hiyo usidai chochote wala usijutie yawezekana mbeleni akaja kuwa msaada kwako.Pole sana kaka
 
Wewe jamaa ni FALAA sana halafu kwa bahati mbaya hujijui... bila shaka hata elimu yako ni ndogo sana au huna kabisa hata hiyo elimu.

Yaani partenity fraud fidia yake ni mwanaume huyo(muhanga wa utapeli) kuishi na tapeli(partenity fraudster)???

Amavamu umeandika upumbavvu hili kutafuta sifa kwa malaya waliozoea kuwabambikizia wanaume mimba.
fala ni anayebambikiwa, hivi wewe mke akubambikie mtoto halafu asikuone falahuyo.
 
Nyinyi ndio masimp wenyewe sasa. Au hapo ulipo unalea mtoto asiye wako unatafuta justification humu.
mimi siwezi kulea mtoto wa mtu ambae mzazi/wazazi wake bado wanapumua na kujishugulisha kujipatia kipato.

labda kama wazazi wa huyo mtoto hawawezi kujishugulisha kujipatia kipato kwa sababu za kiafya au permanent disability.
 
Ndio maana mimi siku hzi nikiona kijana kakataa mimba au mtoto huwa sikurupuki kumlaumu....maana serikali yenyewe ni kama imewa incetivise wanawake kuwambambikizia wanaume watoto.

Yaani serikali haijali chochote kuhusu mwanaume, lolote baya limkute na jamii bora haijengwi hivi hata siku moja.
ni kweli kabisa, na tunavyoongea haya hapa jf wakina dada waliopo kwenye hii forum wanafikiria tunawalenga wao hawawazi kwamba hata sisi tuna ndugu wa kike pia.

Mimi kuna binti wa ndugu yangu mwaka huu alikua anaingia form 4, likizo ya mwisho wa mwaka jana alirudi nyumbani ana mimba. Alimtaja kijana mmoja ndio muhusika baada ya yule kijana kutafutwa aliikataa ile mimba. Alipewa lawama sana.

Wikiend moja nikamtafuta yule dogo alietajwa na binti kwamba ndio muhusika wa ile mimba. Nikaongea nae kirafiki tu kama kaka ake. Siwezi kusema kwamba sio mimba yake lakini alinifungukia mengi tu na mimi pia kama kaka nikampa nasaha zangu. Mpaka leo sijawahi kuchagua upande kwenye lile suala.

Tunalaumu sana wanaume lakini tunasahau kwamba hawa wanawake sio malaika
 
ni kweli kabisa, na tunavyoongea haya hapa jf wakina dada waliopo kwenye hii forum wanafikiria tunawalenga wao hawawazi kwamba hata sisi tuna ndugu wa kike pia.

Mimi kuna binti wa ndugu yangu mwaka huu alikua anaingia form 4, likizo ya mwisho wa mwaka jana alirudi nyumbani ana mimba. Alimtaja kijana mmoja ndio muhusika baada ya yule kijana kutafutwa aliikataa ile mimba. Alipewa lawama sana.

Wikiend moja nikamtafuta yule dogo alietajwa na binti kwamba ndio muhusika wa ile mimba. Nikaongea nae kirafiki tu kama kaka ake. Siwezi kusema kwamba sio mimba yake lakini alinifungukia mengi tu na mimi pia kama kaka nikampa nasaha zangu. Mpaka leo sijawahi kuchagua upande kwenye lile suala.

Tunalaumu sana wanaume lakini tunasahau kwamba hawa wanawake sio malaika
Kaka uzuri mimi na wewe ni miongoni mwa wachache tunaofahamu jinsi gani intersexual dynamics kwenye jamii yetu iliyobadilika, ambapo sasa hivi mgogoro wowote wa kimahusiano kati ya mwanamke na mwanaume jinsi unavyojadiliwa kihisia huku wengi wakichagua upande hasa wa mwanamke.

Siku hizi jamii inamuangalia mwanamke kama victim wa matendo ya mwanaume, chochote anacholalamika kuhusu mwanaume, wanaume na wanawake wanaungana kumshambulia mwanaume huyo anayelalamikiwa hata bila kujipa muda kuchimba undani wa jambo lenyewe.

Hali hii imepelekea wanawake kutake advantage ya huu ujinga wa jamii ya kuwaona wao innocent sana, na hivyo wanafanya mambo mengi sana ya kipuuzi kwa wanaume wakiamini kwamba jamii itakuwa upande wao.

Nina kisa kimoja cha jamaa alitalakiana na mke wake, huyo mshikaji alikuwa anatuma hela za matumizi ya watoto wao waliozaa na huyo mwanamke... sasa kumbe yule mwanamke zile hela alikuwa kiasi kidogo anatumia kwa watoto na kikubwa anatumia kwenye mambo yake binafsi, kuna kipindi watoto walikaa nyumbani miezi miwili bila kwenda shule, hadi ndugu zake na yule mwanamke wakauliza mbona watoto wapo tu nyumbani hawaendi shule..? alichojitetea yule mwanamke ni kwamba baba yao na wale watoto hajatuma ada ya kuwapeleka watoto shule, ikabidi wamtafute jamaa wamuulize, jamaa akasema mbona hela ya ada alishatuma siku nyingi sana na alimwambia kabisa kuwa hii ni hela ya ada, yule mwanamke akakaza uzi kuwa hajatumiwa ada.... aisee ikabidi wale ndugu zake waipeleke kesi ustawi wa jamii, kufika kule ustawi jamaa akaitwa kwanini hatoi ada ya watoto huku akishambuliwa sana na wale maafisa ustawi wa jamii.. jamaa hakutaka kujitetea kwa maneno akasema yeye ana uhakika pesa alishatuma na yuko tayari waende kwenye office za voda shop kuthibitisha hilo,.. basi bana kweli wakaenda huko voda shop na vielelezo vyote mpaka namba ya wakala, na kweli wakakuta jamaa alituma hela kitambo sana na ilipokelewa kwenye namba ile ile ya mwanamke, na hiyo pesa ilitolewa siku hiyo hiyo jamaa alivyomtuma.

Baada ya hapo ikawa ni aibu tupu kwa yule mwanamke na wale ndugu zake, wale maafisa ustawi wa jamii wakamgeukia tena mwanamke yule na kuanza kumshambulia, ndio ikabidi mwanamke yule afunguke sasa yote kwamba tangu watalakiane na jamaa maisha yake yamekuwa magumu sana, na amekujikuta akiingia kwenye madeni mengi na hata ile hela ya ada aliyotumiwa na jamaa aliitumia kupunguza madeni hili asidhalilike.

Sasa hebu angalia hiki kisa hapo awali kila mtu alikuwa anamlaumu na kumshambulia jamaa kwamba hajali watoto, wakati huo mwanamke akionekana ni innocent... imagine kama jamaa asingeomba waende kutafuta uthibitisho huko voda shop, kila mtu angebaki anamuona jamaa ni mtu wa ovyo sana na mwanamke pamoja na watoto angeendelea kuonekana ni victims wa ushenzi wa jamaa.

Na hivi ndivyo jamii yetu ya sasa ilivyo, once a woman is accusing you of any evil deed only hard irrefutable evidence can save you from public cynicism.

Wanawake wana take advantage ya ujinga wa jamii ya kisasa.
 
Kama alizalishwa ndani ya ndoa huyo ni mtoto wako lazima ulipwe fidia japo yanazungumzika nje ya mahakama.
Kusema ukweli wanawake ndio wanachanganya mambo sana, ila Mwanaume aliyekamilika hapendi purukushani za mambo ya watoto ndio mwingine yupo tayari kupotezea hata mambo ya msingi ya malezi endapo tu kutakuwa na migogoro
 
Huo ni utapeli

Unalipwa ukipata Mwanasheria mzuri.
.
Ni vile wanaume wengi huamua kupotezea ila hiyo ni Kesi yenye mashiko Mahakamani
 
Kwanini msiishi na watoto kama ambavyo mngeweza kuishi na watu wengine tu baki?
Hivi vitu tunavyoviacha duniani hivi kilasiku bado hatujifunzi kuwa kilakitu tunachokipigania hakuna hata kimoja tutaenda nacho kaburini
Nikutie moyo kwamba songa mbele wewe sio wa kwanza,inauma sana ila jikaze yatapita.Anza upya sasa.
Siku zote wanawake comments zenu huwa zinaudhi sana na zinatia kinyaa kwenye mada kama hizi ambazo zinahusu maswahibu mazito wanayofanyiwa wanaume na wanawake.

Yaani siku zote huwa mnatoa majibu na solutions rahisi rahisi tu kwa vile tu jinsia yenu sio inayopitia maumivu.

Mngekuwa mnajua trauma na maumivu anayopitia mwanaume baada ya kulea mtoto kwa miaka 6 akiamini kwamba ni wake halafu ghalfa bini vuu anakuja kugundua sio wake, wala hata msingetoa comment nyepesi kiasi hiki as if ni jambo la kawaida tu....

Hivi mmewahi kujiuliza wale jamaa ambao huwa wanachinja mama na mtoto baada ya kubaini wamebambikiziwa huwa kabla ya hapo wanakuwa kwenye hali gani?... ukishapata taarifa tu kwamba mtoto sio wako kwa mwanaume yeyote lazima achanganyikiwe na hasira za kutosha, sasa kuna wengine hiyi hali huwa wanashindwa kuihandle ndio matokeo yake unashangaa tu amempiga mama shoka la kichwa kisha anamaliza na mtoto, baada ya hapo ndio akili zinamrejea.

Yaani mnasema kabisa eti "kwanin usiishi kama ambavyo ungeishi mtu baki" serious? Subiri siku kaka yako au mwanao wa kiume akibambikiziwa mtoto uje umpe huo ushauri.. na wewe Niwaheri tafuta ndugu yako aliyebambikiziwa mtoto ndio umwambie ajikaze asonge mbele baada ya kulea bao la mtu miaka 5.
 
Siku zote wanawake comments zenu huwa zinaudhi sana na zinatia kinyaa kwenye mada kama hizi ambazo zinahusu maswahibu mazito wanayofanyiwa wanaume na wanawake.

Yaani siku zote huwa mnatoa majibu na solutions rahisi rahisi tu kwa vile tu jinsia yenu sio inayopitia maumivu.

Mngekuwa mnajua trauma na maumivu anayopitia mwanaume baada ya kulea mtoto kwa miaka 6 akiamini kwamba ni wake halafu ghalfa bini vuu anakuja kugundua sio wake, wala hata msingetoa comment nyepesi kiasi hiki as if ni jambo la kawaida tu....

Hivi mmewahi kujiuliza wale jamaa ambao huwa wanachinja mama na mtoto baada ya kubaini wamebambikiziwa huwa kabla ya hapo wanakuwa kwenye hali gani?... ukishapata taarifa tu kwamba mtoto sio wako kwa mwanaume yeyote lazima achanganyikiwe na hasira za kutosha, sasa kuna wengine hiyi hali huwa wanashindwa kuihandle ndio matokeo yake unashangaa tu amempiga mama shoka la kichwa kisha anamaliza na mtoto, baada ya hapo ndio akili zinamrejea.

Yaani mnasema kabisa eti "kwanin usiishi kama ambavyo ungeishi mtu baki" serious? Subiri siku kaka yako au mwanao wa kiume akibambikiziwa mtoto uje umpe huo ushauri.. na wewe Niwaheri tafuta ndugu yako aliyebambikiziwa mtoto ndio umwambie ajikaze asonge mbele baada ya kulea bao la mtu miaka 5.
Sawa
 
Siku zote wanawake comments zenu huwa zinaudhi sana na zinatia kinyaa kwenye mada kama hizi ambazo zinahusu maswahibu mazito wanayofanyiwa wanaume na wanawake.

Yaani siku zote huwa mnatoa majibu na solutions rahisi rahisi tu kwa vile tu jinsia yenu sio inayopitia maumivu.

Mngekuwa mnajua trauma na maumivu anayopitia mwanaume baada ya kulea mtoto kwa miaka 6 akiamini kwamba ni wake halafu ghalfa bini vuu anakuja kugundua sio wake, wala hata msingetoa comment nyepesi kiasi hiki as if ni jambo la kawaida tu....

Hivi mmewahi kujiuliza wale jamaa ambao huwa wanachinja mama na mtoto baada ya kubaini wamebambikiziwa huwa kabla ya hapo wanakuwa kwenye hali gani?... ukishapata taarifa tu kwamba mtoto sio wako kwa mwanaume yeyote lazima achanganyikiwe na hasira za kutosha, sasa kuna wengine hiyi hali huwa wanashindwa kuihandle ndio matokeo yake unashangaa tu amempiga mama shoka la kichwa kisha anamaliza na mtoto, baada ya hapo ndio akili zinamrejea.

Yaani mnasema kabisa eti "kwanin usiishi kama ambavyo ungeishi mtu baki" serious? Subiri siku kaka yako au mwanao wa kiume akibambikiziwa mtoto uje umpe huo ushauri.. na wewe Niwaheri tafuta ndugu yako aliyebambikiziwa mtoto ndio umwambie ajikaze asonge mbele baada ya kulea bao la mtu miaka 5.
Kwenye haya masuala ya mahusiano ukitaka kujua mtazamo wa kweli wa mwanamke msikilize akiwa anamwongelea kaka au mtoto ake wa kiume. Huo ndio wakati ambao mwanamke anaongea ukweli kutoka moyoni, but when they talk about a man from another family always women switch narratives to comfort their interests.
 
Back
Top Bottom