Smooth Criminal
JF-Expert Member
- May 13, 2024
- 437
- 867
Hataki mtoto, anatak gharama zake alizotumia kuleaSasa baba mzazi atachukuaje mtoto wake bila kujitokeza, Baba mzazi hapangiwi muda wa kujitokeza anaamua yeye,
kulea mtoto wa mtu hakufanyi huyo mtoto awe wako, hapo anaetakiwa amkatae Baba yake mzazi ni mtoto ila sio wewe kung'ang'ania mtoto.