Mwanaume unaweza kudai haki yako ya kulea mtoto siyo wako ukitambua ana baba mwingine?

Mwanaume unaweza kudai haki yako ya kulea mtoto siyo wako ukitambua ana baba mwingine?

Mbona Sheria ipo wazi someni Sheria ya ndoa unayo haki ya kuwafungulia kesi mkeo na huyo mwizi wake ukapata mtaji wa kutosha tu hata bilioni kumi.
Thus ukimfuma mtu na mme/mkeo usimuue huo ni mtaji umekutembelea kavute pesa kwa Sheria ya ugoni.
Wanawake wenyewe masikini wanaingia kwenye ndoa kutafuta sehemu ya kuponea, hata ukimshtaki unafikiri atakulipa nini
 
Kwenye haya masuala ya mahusiano ukitaka kujua mtazamo wa kweli wa mwanamke msikilize akiwa anamwongelea kaka au mtoto ake wa kiume. Huo ndio wakati ambao mwanamke anaongea ukweli kutoka moyoni, but when they talk about a man from another family always women switch narratives to comfort their interests.
Kweli kabisa ndugu, hawa watu wanatetea jinsia yao kwenye kila upuuzi mpaka pale ndugu yake anapofanyiwa upuuzi na jinsia yao ndio wanakuwa objective.
 
Back
Top Bottom