Mwanaume unaweza kukubali mkeo aoshwe miguu na kusuguliwa kucha na vijana wengine?

Mwanaume unaweza kukubali mkeo aoshwe miguu na kusuguliwa kucha na vijana wengine?

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Nimekaa nimejiuliza sana lakini jibu linalokuja kichwani ni tofauti na ninayoyaona mtaani.

Rejea kichwa juu. Una mke/mchumba unaweza kumruhusu asuguliwe miguu na kuoshwa kucha na vijana wanaofanya biashara hiyo?

Una mume/ mchumba unaweza kukubali mumeo akafanye massage (kukandwa kandwa) na muhudumu wa kike? (Kumbuka hukandwi ukiwa na nguo zote) na ikiwa hakuna shida je kidume unaweza kukubali kukandwa na kidume mwenzio ili mkeo akwamini kuwa ni massage tu?

Msimamo wangu mimi nakataa hizo biashara zote full stop sababu zitakuja kwenye koment chini.

Naombeni kuwasilisha

1619184782035.png

Zaidi soma: Mke wako huwa anaoshwa miguu na kijana wake wa kutengeneza kucha?
 
Utaruhusu asuguliwe kucha, unyayo na miguu.

Kuna kipindi watasuguliwa mapaja.

Itafikia wakati watasuguliwa kiuno.

Ikichanganya itafika wakati watakusuguliwa Dodoma makao makuu ya nchi pale katikati.
Mkuu uakakasi unakuja tu ukiona style wanayoshikwa. Balaa linaanzia hapo
 
Sanaaaa hasa waume ambao wako bize na hela
Miaka ya nyuma kuna jamaa namjua alikuwa ana goli lake la kufanya hii shuguli ilikuwa magomeni kama unaelekea chipolopolo sehemu ilikuwa maarufu kwa wadada wa twn.

Aise jamaa alikuwa anawalaaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Haki ya Nani naacha kubeba boksi narudi bongo kufanya iyo kazi
Jamaa alikuwa anaitwa S ilikuwa kwa siku kuondoka na 100000 au 150000 kawaida tu
Alafu bado watu walikuwa hawajajingiza
Kwenye kazi syo kama sahv wasambaa kibao wanawasugua miguu na kutengeneza kucha wadada
Sema ile kuwala wala ilimuaribia kazi maana wadada wakawa wanatengeneza bure au kutoa pesa duskooo [emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom