Mwanaume unaweza kukubali mkeo aoshwe miguu na kusuguliwa kucha na vijana wengine?

Mwanaume unaweza kukubali mkeo aoshwe miguu na kusuguliwa kucha na vijana wengine?

Sitaki aoshwe wala simuoshi ikiwa mwanamke kuosha miguu tu itakate hawezi huyo ni mchafu na hanifai pia
Ametoka kwao na tabia hiyo na anaipenda utafanyaje
 
Ametoka kwao na tabia hiyo na anaipenda utafanyaje
Siyo kila tabia aliyotoka nayo kwao lazima aje nayo kwangu nyingine niza ku cancel hazifai kama hiyo
 
Nimekaa nimejiuliza sana lakini jibu linalokuja kichwani ni tofauti na ninayoyaona mtaani.

Rejea kichwa juu. Una mke/mchumba unaweza kumruhusu asuguliwe miguu na kuoshwa kucha na vijana wanaofanya biashara hiyo?

Una mume/ mchumba unaweza kukubali mumeo akafanye massage ( kukandwa kandwa) na muhudumu wa kike?( Kumbuka hukandwi ukiwa na nguo zote) na ikiwa hakuna shida je kidume unaweza kukubali kukandwa na kidume mwenzio ili mkeo akwamini kuwa ni massage tu?

Msimamo wangu mimi nakataa hizo biashara zote full stop sababu zitakuja kwenye koment chini.

Naombeni kuwasilisha
Mimi kwangu hizi mambo hamna.

Mapema nilimwambiaga kama umeshindwa kumudu kusafisha miguu yako na kucha zako basi wewe huwezi mudu kulea familia.
 
Bila picha hainogi
Screenshot_2021-02-01-07-44-17.jpeg
Screenshot_2021-02-01-07-44-35.jpeg
 
Nawaonaga hapo Morocco Hotel na Mwananyamala A kwa Aman kucha wadada na wanawake walivyojazana najismea tu hiiiiiiiiiii! Wangu aje aniletee ujuaji huo
Ukipita kinondoni hospital kama unaenda moroco
Kuna kijiwe pia utawakuta wadada kibao miguu wmeninginiza juuu[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Wanaume wanaoshwa kichwa baada ya kunyoa na wanawake wanaoshwa miguu hapo ngoma draw hakuna kulialia.
 
Goodmorning mama D hizi mambo unafanyaga?
Karibu utoe mawazo najua wee ni mwanamke unayejielewa!njoo utupe 1,2,3

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hahaha wakati tunakua tukienda likizo pale nyumbani kwa bibi kulikua na jiwe la kusugulia miguu nyumbani, kipande cha gome la mti kwaajili ya kusugulia kucha! Mimi huwa nanunua vifaa nasugua mwenyewe nyumbani
Siku hizi sio wanawake tuu... hata wanaume wako kwenye foleni za kuoshwa miguu
 
Hahaha wakati tunakua tukienda likizo pale nyumbani kwa bibi kulikua na jiwe la kusugulia miguu nyumbani, kipande cha gome la mti kwaajili ya kusugulia kucha! Mimi huwa nanunua vifaa nasugua mwenyewe nyumbani
Siku hizi sio wanawake tuu... hata wanaume wako kwenye foleni za kuoshwa miguu
Mwanaume si anasuguliwa miguu na mwamke [emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Hahaha wakati tunakua tukienda likizo pale nyumbani kwa bibi kulikua na jiwe la kusugulia miguu nyumbani, kipande cha gome la mti kwaajili ya kusugulia kucha! Mimi huwa nanunua vifaa nasugua mwenyewe nyumbani
Siku hizi sio wanawake tuu... hata wanaume wako kwenye foleni za kuoshwa miguu
Haiwezekani mke au gf wako anashikwa upajaa mguu unyayooo [emoji2][emoji2]
East Wind

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
KUNA HII KANUNI...

UKIWA NI MLAJI WA NYAMA FULANI ILIYOKATAZWA NA ALLAAH ALIYETUUMBA...BASI BILA SHAKA UTACHUKUA TABIA ZA MNYAMA VILE VILE...

MADHARA YA KULA NGURUWE HAYA...KUNA WANAUME WIVU UMESHAISHA...WAMEKUWA KAMA NGURUWE...
 
Back
Top Bottom