Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Behaviourist mwanaume nae anaendaje kuoshwa miguu☺🙂🙂Bodaboda na vijana waosha kucha wanafaudu sana!
Nyie wanawake wa mjini nyie, unashindwa kujisugua miguu mwenyewe?
Semeni tu mnapenda kulegezwa kwa kushikwa nyayo zenu.
Waosha kucha na miguu wanawatafuna sana wak zetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Nawaonaga hapo Morocco Hotel na Mwananyamala A kwa Aman kucha wadada na wanawake walivyojazana najismea tu hiiiiiiiiiii! Wangu aje aniletee ujuaji huo
Me namruhusu 2...akisuguliwa kwngne ni tabia yake 2 cz unaweza ukamfanyia ww mwenyew kila ktu.. Muuza mboga akapta naeSi kweli mnahisi tu
Ilaaa wajanja anaweza kukuosha miguu huku ana kutekenya,mara akupake mafuta taratibuuu,mara akusifie una miguu mizuri[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama una ukame likely atakukula
Jitahidini basi mtufanyie haya mambo nyumbani ili tusione mageni huko kwingine [emoji4]
Wewe huwa hupendi mwanaume wako awe msafi?Hivi Behaviourist mwanaume nae anaendaje kuoshwa miguu☺🙂🙂
HahahahaSi kweli mnahisi tu
Ilaaa wajanja anaweza kukuosha miguu huku ana kutekenya,mara akupake mafuta taratibuuu,mara akusifie una miguu mizuri[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama una ukame likely atakukula
Jitahidini basi mtufanyie haya mambo nyumbani ili tusione mageni huko kwingine [emoji4]
Mm ntakufanyia usijal[emoji3]Kama hataki ajiandae kunifanyia yeye kwa muda nnaotaka.
Kama hataki akubali nikafanyiwe![emoji4]
Kumsafisha mwenyewe 😃😃😃Wewe huwa hupendi mwanaume wako awe msafi?
Huyo jamaa alimtia tia vidole katikati ya mapaja lazima alishika shavu hapo, mleta mada anatakiwa aweke hizi picha juu huko ili wenye wake zao waone vizuri.
Wanawake wengi huwa hawapo tayari kusafisha waume zaoKumsafisha mwenyewe 😃😃😃
Akikusafisha basi ujue siku hiyo anataka akupigeWanawake wengi huwa hawapo tayari kusafisha waume zao
Oa mwanamke anaekupenda uone kama hutasafishwaWanawake wengi huwa hawapo tayari kusafisha waume zao
Bibi zenu waliishije bila kufanyiwa hivyoSi kweli mnahisi tu
Ilaaa wajanja anaweza kukuosha miguu huku ana kutekenya,mara akupake mafuta taratibuuu,mara akusifie una miguu mizuri[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama una ukame likely atakukula
Jitahidini basi mtufanyie haya mambo nyumbani ili tusione mageni huko kwingine [emoji4]
Nina video kabisa lakini inagoma kutuma,,Huyo jamaa alimtia tia vidole katikati ya mapaja lazima alishika shavu hapo, mleta mada anatakiwa aweke hizi picha juu huko ili wenye wake zao waone vizuri.
Ndy wake zetu tulionao hao mkuu,,ni vile hatuoni huko anachokifanya saloon.Hili ni balaa sasa
Bora nkufanyie mwenyewe tu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mimi niko tayari kwa mambo yote. Tutanunua vifaa vyetu lakini sio kwenda huko