Mwanaume unawezaje kujiua kwa ajili ya wivu wa mapenzi?

Mwanaume unawezaje kujiua kwa ajili ya wivu wa mapenzi?

1st AID

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2014
Posts
1,079
Reaction score
523
Wasaalam,

Huyu ni jamaa wa pili kumfahamu tumefanya nae kazi kwa muda baadae akaamua kupumzika leo naambiwa jamaa yako amejifumua risasi ya kichwa kwa wivu wa mapenzi, kisa kabaini mke wake anamahusiano ya kimapenzi na mfanyakazi mwenzie.

Wa kwanza aliniuma sana maana umri wake na mafanikio yake ndio kwanza yalikuwa yameanza kuchanua, biashara imekubali maisha murua, huyu nae alikunywa sumu baada ya kubaini mkewe tena wenye ndoa ya miaka miwili tu anabanjuka na dereva wake wa dukani.

Bado najiuliza unawezaje kujikatisha maisha kwa wivu wa mapenzi? Hivi wanaume hatuna uvumilivu na maamuzi zaidi ya kujitoa roho?

Nimechoka kabisa.

R.I.P Bro H.
 
utajaujua ukweli ukiwa umening'inia kwenye mti.

usimuulizie kifaru porini.
 
Ni ujinga na ushamba tu..utajiuaje coz ya mwanamke bana,asa ukishajiua ndo itabadilisha ukweli?
 
I don't know man. But the day i find out the Missus is letting another fool hit it, i will act a fool. Now watch a fool miss the double entrendre, and start acting a fool.
 
yakikukuta utajua kwa nini ndugu....kwasasa kuwa mpole tu
 
Ulimbukeni na Kuanza Mapenzi Ukubwani Ndio Tatizo... Kwahiyo nijiue Mimi harafu yeye namuacha aendelea kutafunwa? Aisee Bado kabisaa
 
Ni ujinga na ushamba tu..utajiuaje coz ya mwanamke bana,asa ukishajiua ndo itabadilisha ukweli?

Really? That's the question? They commit suicide trying to change events...
Hayo mambo ni predictable yakiwa na variables nyingi sana.
Inategemea, huyo mtu kakukaaje moyoni...
Inategemea, wewe unatafsiri vipi hicho kitendo (Coz at the end of the day its just sex- haiishi wala kuweka alama)
Inategemea pia siku hiyo umekula maharage ya wapi
 
Mi nadhani kikubwa kinakuwa ni hasira na kuyumba kisaikolojia[snapped] vinginevyo mtu akiwa na rafiki mzuri na akawa sio msiri kwenye mambo yanayomtatiza kama hayo ya ndoa mtu hawezi kujiua.
 
Kama watu wanaumwa na kuchanganyikiwa kama wenda wazimu kwa sababu ya k na mbr pia mtu kujiua ipo tu. watu wanatofautiana namna ya kutawala mapenzi.

Ila ukweli japo kuna maradhi na shida nyingi, mwanaume kupitia stage ya uplayer ni muhimu sana. La sivyo haya makitu utaya abudu badala ya kuyadharau. Stage ya uplayer unakutana na changamoto nyingi za kukukomaza akili
 
Back
Top Bottom