Kweli mapenzi yanauma Sana,Sana, Sana but kujiua ni dhambi kubwa Sana it's hard even to forgive yourself for dat,hata Mungu unakuwa umemkosea manake hukumwamini Kama anaweza kukupa sababu nyingine ya kui- ishia....ila nkifikia hatua hiyo manake huyo mtu kanikosanisha na Mungu wangu,kaniumiza pasipoponeka,na ni ngumu kumsamehe something ambacho kitaninyima raha na amani then itabidi atangulie yeye na washenzi wote waliochangia,I can't die and leave them alive,itabidi twende wote tu....hamna namna,tena kuhakikisha wamezikwa tayari ndo nawafata and the game will be over.