Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Temea mate chini ibra87.
Mambo haya hayana kabila, dini wala rangi.
Akili yako inahamishwa na hasira kaka.
Uwiiiii
Huko ni kujiendekeza hakuna lolote. Naweza kusema ni ujinga na upumbavu mtu kujiua kisa yule mwenye K kampa mtu mwingine.
Kuna wakati wahehe wanaongoza sana kujinyonga tena bila sababu, nao utawasemaje? Ni hasira zimezidi?
Kumpenda mtu ni kubaya sana, hasa mwenyewe akijua ndio loh!! Utaomba ardhi ipasuke. Asante Mungu kwa kushinda huu mtihani.
Ukijinyonga ndo ntajua upo serious, na ntaifungua fastaEven Kafungue Inbox Au Nijinyonge!!
Sema wewe bwana. Hahaha Wengine tulishawahi lizwa kama mtoto na binti flani hvi, tukiwa na ndevu zetu hvi hvi. Tehe
Mi nimetoka kumwagwa juzi, nikataka kuponda chupa nikaona dah!!! Sijaaga ikabidi nihairishe, ndio hvo nipo nauguza za usooo!!!
Time heals everything. With time u will be OK. You have a great life ahead of you.
Hahahahahaha!!!!! Nimetania kaka nipo okey kabisa.
Na ukubwa huu niumie kuachwa loh!!! Mtu akiniacha na hesabu kama nimeanguka then nainuka najifuta vumbi nasonga mbele. Tena kwa amani kabisa.
Yani hii mada inaniumiza maana nimetoka kumuona hospital kaka yangu ameponea chupuchupu kufa baada ya kujaribu kujiua kwa kujikata shingo kisa kaachwa na mwanamke..sasa sijui ni mapepo ama nini
Wasaalam,
Huyu ni jamaa wa pili kumfahamu tumefanya nae kazi kwa muda baadae akaamua kupumzika leo naambiwa jamaa yako amejifumua risasi ya kichwa kwa wivu wa mapenzi, kisa kabaini mke wake anamahusiano ya kimapenzi na mfanyakazi mwenzie.
Wa kwanza aliniuma sana maana umri wake na mafanikio yake ndio kwanza yalikuwa yameanza kuchanua, biashara imekubali maisha murua, huyu nae alikunywa sumu baada ya kubaini mkewe tena wenye ndoa ya miaka miwili tu anabanjuka na dereva wake wa dukani.
Bado najiuliza unawezaje kujikatisha maisha kwa wivu wa mapenzi? Hivi wanaume hatuna uvumilivu na maamuzi zaidi ya kujitoa roho?
Nimechoka kabisa.
R.I.P Bro H.
mkuu mshana nadhani nina umri wa kutosha kuwa nimeshuhudia mengi kwenye swala la mahusiano, ila swala linalo nitatiza sio kuombea kukutwa... kweli yanaweza kunikuta lakini suluhu ya jambo hili likikukuta ni kujikatisha uhai? Ebu chimbua zaidi.Mwombe sana Mungu yasikukute. Mapenzi ni habari nyingine kabisa sumu kuzidi bomu, mapenzi yanauwa ufahamu na kukufanya ----- kabisa..... Tumeyaona tumeyashuhudia... Omba yasikukute
Njoo tu aisee tena nna ya digital inayosoma mpaka location
Hapa tu ndo nnapokupendeaga mshana ha ha ha
cc Paulo Sergio De Souz