Mwanaume unawezaje kujiua kwa ajili ya wivu wa mapenzi?

Mwanaume unawezaje kujiua kwa ajili ya wivu wa mapenzi?

Hata sio hela ya harusi yani ukiwaza kale ka moment katamu, afu kuna paka mwingine anapewa....ooohhhh:crying::crying::crying:
Paulo Sergio De Souz naomba picha ya kusindikizia hisia zangu

300-rise-of-an-empire-premi-res-photos-600x280.jpg
 
principle za maisha life is a war wapo wanao survive wapo wanashindwa ukiona mtu anajiua
ujue ameshindwa kukabili changamoto za ulimwengu yaani kila binadamu ninayekutana naye
barabarani bila kujali jinsia yake wala hali yake ya kiuchumi huwa nina muheshimu sana sababu
anakabili changamoto mbalimbali ambazo pengine wengi wameamua kukatisha safari baada ya
kukutana na changamoto hizo duniani ni struggle for the survival wanyonge wote huwa system
inawatema automatically
 
1st AID

Inawezekana Kabisa Mtu Kujitoa Uhai Wake kwa Sababu Ya Kimapenzi. Kwa Sababu Kadha Wa Kadha ,
1,.Kutokujianda Kisaikolojia Ya Kwamba Huyo Mwanamke Anaweza Kumuacha ,yawezekana Huyo Mwanaume Amewekeza Mapenzi Yake Kwa Huyo Mwenza Wake Na Kujiona Hawezi Kuishi Bila Huyo Mwenza Wake.
2,. Kurinda Ahadi,
 
Last edited by a moderator:
Kampnz kangu cha mwanzo ndo kalinifanya nielewe why watu wanaweza kujiua..

Kalikuwa hakana makuu,churchgoer,very kapole,yani maneno kanaongea kwa kuyahesabu

Nilikapenda sana aisee..kalinifanya nisacrifice mambo kibao kwa ajili yake..

Nako kalinipenda sana..Japo ni ngumu kuusemea moyo ila ilo lilikuwa wazi..Kipindi hiki ndo niliamini nn maana ya soulmate..Mana sio kupetipeti kule..Mpaka nikambadili jina na kumwita inventor(wa mapenzi)..

Ila siku nilipomfuma bedi na mshkaji viungo vyote vya mwili vilishangaa..

Nilihisi kuchanganyikiwa..kila mtu nilikuwa namuona mbaya..Nashukuru Mungu shetani hakuwa zamu siku hiyo..Ningefanya maamuzi mabaya sana
 
Katika hali halisi ni kwamba kila mmoja wetu anafahamu kuwa ulimwengu wa MAPENZI ni ulimwengu wa raha....ni ulimwengu ambao unamfanya muhusika ajione kama yupo peponi kwa raha azipatazo......lakini hali huwa mbaya pale ghafla hizo raha zinapokosekana...
 
Last edited by a moderator:
Kampnz kangu cha mwanzo ndo kalinifanya nielewe why watu wanaweza kujiua..

Kalikuwa hakana makuu,churchgoer,very kapole,yani maneno kanaongea kwa kuyahesabu

Nilikapenda sana aisee..kalinifanya nisacrifice mambo kibao kwa ajili yake..

Nako kalinipenda sana..Japo ni ngumu kuusemea moyo ila ilo lilikuwa wazi..Kipindi hiki ndo niliamini nn maana ya soulmate..Mana sio kupetipeti kule..Mpaka nikambadili jina na kumwita inventor(wa mapenzi)..

Ila siku nilipomfuma bedi na mshkaji viungo vyote vya mwili vilishangaa..

Nilihisi kuchanganyikiwa..kila mtu nilikuwa namuona mbaya..Nashukuru Mungu shetani hakuwa zamu siku hiyo..Ningefanya maamuzi mabaya sana
Very touching story
 
1st AID

Unapojua thamani yako. Unapojua kwamba wewe ni mtu wa kipekee hakuna kama wewe katika dunia hii, sidhani kama

unaweza kufikia maamuzi kama hayo.
Nakubaliana nawe mkuu ingawa wengine wananiambia yakinikuta ndio nitaelewa, ila nadhani pia we need to reserve our trust for issue like this in relationship ili likitokea walau uwe na space kwa ajili ya kufikiria mara mbili kabla ya kuaamua.
 
Nakubaliana nawe mkuu ingawa wengine wananiambia yakinikuta ndio nitaelewa, ila nadhani pia we need to reserve our trust for issue like this in relationship ili likitokea walau uwe na space kwa ajili ya kufikiria mara mbili kabla ya kuaamua.

Yeah! Hiyo nayo ni muhimu sana.
 
Jamani Napata tatizo jingine tena au sijui ni phobia... najisikia vibaya sana kwenda kwenye mazishi ya huyu ndugu yaani moyo wangu umekufaganzi kabisa.
 
Wanaua katika hali ya msongo wa mawazo,ubungo unapokua na msongo wa mda mrefu hufikia kushindwa kuhimili, kuna hali zinawapata watu wanajiona hawana thamani na wanafikiria kujiua, hapa wanahitaji ushauri, ukiona mtu mwenye tatizo kubwa jaribu kumpa ushauri na kumtia moyo kabla hajapatwa na matatizo makubwa.

Mkuu, fupisha tu kwa kusema kuwa, watu wametofautiana katika uwezo wa kupokea na kuhimili mambo yasiyofurahisha. Kuna mtu anaweza akahimili kitu cha kuumiza kama kuishi na mwanamke anesaliti ndoa na rafiki wa karibu na watu wasijue, wakati hapohapo kuna mtu anaweza kujinyonga kwa kudaiwa deni la sh. Laki 2.
Au kama huo mfano ni mgumu, kuna huu mwingine, kuna mtu anaweza kusikitika kwa miezi sita kutokana na kutukanwa tu kuwa ni m.shenzi n.k Wakati hapohapo kuna mwingine anatukanwa na mtaa mzima kila siku anacheka na kushirikiana na haohao wanaomtukana.
 
Usiombe kabsa ukapenda..

Nliwahi kua mbishi na mstari wa mbele kukejeli watu mpaka yaliponikuta siku. Love is Real. There comes a time mpaka nikamuambia mama yangu mzazi:

" Mama binti flan ananisumbua sana akili, i can no longer take this "

My moms ni mtu flan mstaarabu na muelewa sanaa, mpaka namweleza hyo issue ujue nilizidiwa. Tehe
It takes time and a lot of courage to overcome such a situation. Once u start dating someone better its when a new love adopts within u.
 
Back
Top Bottom