Aisee ila mimi nadhani kuna vitu huwa vinaendelea kwenye ulimwengu wa roho...(kama huamini katika ulimwengu wa roho samahani) sio akili ya kawaida hiyo
uko sahihi kabisa ni roho mchafu umuingia mtu
nivigumu kwa mtu kukuelewa kama si mtu wa rohono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee ila mimi nadhani kuna vitu huwa vinaendelea kwenye ulimwengu wa roho...(kama huamini katika ulimwengu wa roho samahani) sio akili ya kawaida hiyo
Mi nadhani kikubwa kinakuwa ni hasira na kuyumba kisaikolojia[snapped] vinginevyo mtu akiwa na rafiki mzuri na akawa sio msiri kwenye mambo yanayomtatiza kama hayo ya ndoa mtu hawezi kujiua.
Nakuelewa lakini pia sikuelewi suluhisho la kutojiua kwenye alike incident ni kuwa player?Kama watu wanaumwa na kuchanganyikiwa kama wenda wazimu kwa sababu ya k na mbr pia mtu kujiua ipo tu. watu wanatofautiana namna ya kutawala mapenzi.
Ila ukweli japo kuna maradhi na shida nyingi, mwanaume kupitia stage ya uplayer ni muhimu sana. La sivyo haya makitu utaya abudu badala ya kuyadharau. Stage ya uplayer unakutana na changamoto nyingi za kukukomaza akili
Kama watu wanaumwa na kuchanganyikiwa kama wenda wazimu kwa sababu ya k na mbr pia mtu kujiua ipo tu. watu wanatofautiana namna ya kutawala mapenzi.
Ila ukweli japo kuna maradhi na shida nyingi, mwanaume kupitia stage ya uplayer ni muhimu sana. La sivyo haya makitu utaya abudu badala ya kuyadharau. Stage ya uplayer unakutana na changamoto nyingi za kukukomaza akili
Hata sio hela ya harusi yani ukiwaza kale ka moment katamu, afu kuna paka mwingine anapewa....ooohhhh:crying::crying::crying:Haya mambo tuyasikie tu kwa watu... never say never, cha muhimu ni kuomba yasikukute!!! Inauma umeangaika kuchangisha hela ya harusi na zingine umekopa afu kuna waluwalu anakugongea bure kabisa, na mke ukiwa nae anajichekesha tu like nothing is going on!!!
Hata sio hela ya harusi yani ukiwaza kale ka moment katamu, afu kuna paka mwingine anapewa....ooohhhh:crying::crying::crying:
Paulo Sergio De Souz naomba picha ya kusindikizia hisia zangu
"Ooh bebi you are my vampire, suck all my blood" kumbe kuna ma vampire na mazombie mengine nayo yanasuck the blood f*ckhahhha ule utamu haufai kushare, mbaya zaidi ulikua unajiona fundi mwenyewe, mtoto anakulilia sauti zote chumbani... aargh!!!
Halafu ukijumlisha na ule uongo wa Hakuna mwingine zaidi yako!!!? Unakuta mtu anaona kuwa amefanywa mpumbavu siku zoooote unawaza peke yako "Yaani Evelyn ndio wa kunifanyia mimi hivi?" Hapo umemnunulia kila anachoitaji, hana asichopata!!!, Manake sex haimtoshelezi....Period, lazima udate.Hata sio hela ya harusi yani ukiwaza kale ka moment katamu, afu kuna paka mwingine anapewa....ooohhhh:crying::crying::crying:
Paulo Sergio De Souz naomba picha ya kusindikizia hisia zangu
Na unasifiwa kabisa oooh naomba ni log out kwa dakika 5 kwa ajili ya kuliaHalafu ukijumlisha na ule uongo wa Hakuna mwingine zaidi yako!!!? Unakuta mtu anaona kuwa amefanywa mpumbavu siku zoooote unawaza peke yako "Yaani Evelyn ndio wa kunifanyia mimi hivi?" Hapo umemnunulia kila anachoitaji, hana asichopata!!!, Manake sex haimtoshelezi....Period, lazima udate.
"Ooh bebi you are my vampire, suck all my blood" kumbe kuna ma vampire na mazombie mengine nayo yanasuck the blood f*ck