Mwanaume unawezaje kujiua kwa ajili ya wivu wa mapenzi?

Mwanaume unawezaje kujiua kwa ajili ya wivu wa mapenzi?

Aisee ila mimi nadhani kuna vitu huwa vinaendelea kwenye ulimwengu wa roho...(kama huamini katika ulimwengu wa roho samahani) sio akili ya kawaida hiyo

uko sahihi kabisa ni roho mchafu umuingia mtu
nivigumu kwa mtu kukuelewa kama si mtu wa rohono
 
ila kujinyonga siwezi, ila kwa mtu mwenye moyo wakupenda dizaini ya wakwangu simshangai!! ukiwa na moyo wakupenda sanaaaa unakuwa na wivu flan unaochoma moyoni miithili ya mkuki wenye ncha kali na sumu,

kuna wakati waweza lia kwa vitu vyakijinga nakumuuliza mtu ni aibu,

watu wengi wa hivyo ni wale wasioweza kuwa na watu 2 na hawezi kuigiza mapenzi kama @ mwaj waukweli hivyo akisalitiwa anaumia hadi mwisho acheni tu.

mi ningepata dawa za kuondoa true love& wivu hata china ningezifwata faster
 
Mi nadhani kikubwa kinakuwa ni hasira na kuyumba kisaikolojia[snapped] vinginevyo mtu akiwa na rafiki mzuri na akawa sio msiri kwenye mambo yanayomtatiza kama hayo ya ndoa mtu hawezi kujiua.

Tatizo wanaume kiasili ni watu wasiri sana, na hii inawatafuna ndani kwa ndani na kupelekea kufanya maamuzi ya hatari...
Though huwa mnatushangaa lakini sisi wanawake tukifumani tunaenda kuwasimulia mashosti saluni, tunaweka status za kujifariji whatsapp, baada ya hapo zigo tumelitua moyoni ndoa au uhusiano unadundaa...
 
Kama watu wanaumwa na kuchanganyikiwa kama wenda wazimu kwa sababu ya k na mbr pia mtu kujiua ipo tu. watu wanatofautiana namna ya kutawala mapenzi.

Ila ukweli japo kuna maradhi na shida nyingi, mwanaume kupitia stage ya uplayer ni muhimu sana. La sivyo haya makitu utaya abudu badala ya kuyadharau. Stage ya uplayer unakutana na changamoto nyingi za kukukomaza akili
Nakuelewa lakini pia sikuelewi suluhisho la kutojiua kwenye alike incident ni kuwa player?
 
Wanaua katika hali ya msongo wa mawazo,ubungo unapokua na msongo wa mda mrefu hufikia kushindwa kuhimili, kuna hali zinawapata watu wanajiona hawana thamani na wanafikiria kujiua, hapa wanahitaji ushauri, ukiona mtu mwenye tatizo kubwa jaribu kumpa ushauri na kumtia moyo kabla hajapatwa na matatizo makubwa.
 
Watu tunatofautiana namna tunavyopokea taarifa Fulani, kiukweli unapopata taarifa ya kushitusha ambayo hukuitegemea kama ya kusalitiwa matokeo yake yanaweza yakawa kama hayo, suicide.
Na inategemea pia na jinsi mtu alivyojiandaa kupokea misukosuko, lazima ifike mahali tutambue ya kuwa Dunia siyo perfect, kuna wakati lazima unachokidhani kuwa ndicho kitakuwa sicho.
 
Kama watu wanaumwa na kuchanganyikiwa kama wenda wazimu kwa sababu ya k na mbr pia mtu kujiua ipo tu. watu wanatofautiana namna ya kutawala mapenzi.

Ila ukweli japo kuna maradhi na shida nyingi, mwanaume kupitia stage ya uplayer ni muhimu sana. La sivyo haya makitu utaya abudu badala ya kuyadharau. Stage ya uplayer unakutana na changamoto nyingi za kukukomaza akili

Sidhani kama ni guarantee...unaweza ukawa player kisha baadaye ukakutana na huyo atakayekuvuruga mpaka ukafanya yanayozungumziwa hapa....

Sina uhakika kama courage ni tabia ya mtu binafsi au inaweza ikawa adopted....Kama ni waamini, basi na tuombe Mungu atupe mioyo ya ujasiri kuweza kuhimili misukosuko. Kuna tukio liliwahi kutokea miaka ya nyuma sana, ambapo kijana mmoja aliwahi kujiua kwa kudhulumiwa gunia moja la maharage....huwa nayawazia maamuzi yake mpaka kesho...
 
Haya mambo tuyasikie tu kwa watu... never say never, cha muhimu ni kuomba yasikukute!!! Inauma umeangaika kuchangisha hela ya harusi na zingine umekopa afu kuna waluwalu anakugongea bure kabisa, na mke ukiwa nae anajichekesha tu like nothing is going on!!!
Hata sio hela ya harusi yani ukiwaza kale ka moment katamu, afu kuna paka mwingine anapewa....ooohhhh:crying::crying::crying:
Paulo Sergio De Souz naomba picha ya kusindikizia hisia zangu
 
Last edited by a moderator:
Hata sio hela ya harusi yani ukiwaza kale ka moment katamu, afu kuna paka mwingine anapewa....ooohhhh:crying::crying::crying:
Paulo Sergio De Souz naomba picha ya kusindikizia hisia zangu

hahhha ule utamu haufai kushare, mbaya zaidi ulikua unajiona fundi mwenyewe, mtoto anakulilia sauti zote chumbani... aargh!!!
 
Hata sio hela ya harusi yani ukiwaza kale ka moment katamu, afu kuna paka mwingine anapewa....ooohhhh:crying::crying::crying:
Paulo Sergio De Souz naomba picha ya kusindikizia hisia zangu
Halafu ukijumlisha na ule uongo wa Hakuna mwingine zaidi yako!!!? Unakuta mtu anaona kuwa amefanywa mpumbavu siku zoooote unawaza peke yako "Yaani Evelyn ndio wa kunifanyia mimi hivi?" Hapo umemnunulia kila anachoitaji, hana asichopata!!!, Manake sex haimtoshelezi....Period, lazima udate.
 
Halafu ukijumlisha na ule uongo wa Hakuna mwingine zaidi yako!!!? Unakuta mtu anaona kuwa amefanywa mpumbavu siku zoooote unawaza peke yako "Yaani Evelyn ndio wa kunifanyia mimi hivi?" Hapo umemnunulia kila anachoitaji, hana asichopata!!!, Manake sex haimtoshelezi....Period, lazima udate.
Na unasifiwa kabisa oooh naomba ni log out kwa dakika 5 kwa ajili ya kulia
 
"Ooh bebi you are my vampire, suck all my blood" kumbe kuna ma vampire na mazombie mengine nayo yanasuck the blood f*ck

hahah na "I am comiiiiing" kibao kumbe ndo kwanza anamwaza dereva uko nje!!! mpunguze kufake hizi vitu, mnawapa watu matumaini
 
Back
Top Bottom