Mwanaume unawezaje kukataa? Mimi siwezi kukataa!.

Mwanaume unawezaje kukataa? Mimi siwezi kukataa!.

Nani anaweza kumkatalia mwanamke?

  • Siwezi kumkatalia mwanamke

    Votes: 7 41.2%
  • Je wewe unaweza?

    Votes: 6 35.3%
  • Vipi ikiwa wao ndo wangekuwa wanatutongoza?

    Votes: 4 23.5%

  • Total voters
    17
  • Poll closed .

yassird200

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2025
Posts
466
Reaction score
813
habari wakuu!. wanaume ! kumbe mungu anaakili sana aisee hiyo jana nimejigundua kama ningekuwa mwanamke basi ningeitwa maharage ya mbeya.. . jana nilibananiswa sehemu tena haikuwa live ila sikuchukua hata dakika ishirini nikawa nimekubali . Sijawahi kupitia changamoto yakutongozwa na mwanamke kiukwel sikuweza kukataa . Mungu awape maisha marefu hawa mama zetu mishangazi.
 
habari wakuu!. wanaume ! kumbe mungu anaakili sana aisee hiyo jana nimejigundua kama ningekuwa mwanamke basi ningeitwa maharage ya mbeya.. . jana nilibananiswa sehemu tena haikuwa live ila sikuchukua hata dakika ishirini nikawa nimekubali . Sijawahi kupitia changamoto yakutongozwa na mwanamke kiukwel sikuweza kukataa . Mungu awape maisha marefu hawa mama zetu mishangazi.
Mawazo kama haya hayaji tu hivi hivi ni mwanzo wakutaka.
kuleft group
 
Back
Top Bottom