yassird200
JF-Expert Member
- Jan 2, 2025
- 466
- 813
Mawazo kama haya hayaji tu hivi hivi ni mwanzo wakutaka.habari wakuu!. wanaume ! kumbe mungu anaakili sana aisee hiyo jana nimejigundua kama ningekuwa mwanamke basi ningeitwa maharage ya mbeya.. . jana nilibananiswa sehemu tena haikuwa live ila sikuchukua hata dakika ishirini nikawa nimekubali . Sijawahi kupitia changamoto yakutongozwa na mwanamke kiukwel sikuweza kukataa . Mungu awape maisha marefu hawa mama zetu mishangazi.
Sahihi! Huu mchele soon unaenda kutwangwa, kidume hawezo andika huu upupu.Mawazo kama haya hayaji tu hivi hivi ni mwanzo wakutaka.
kuleft group
Nadhani we ndo utareft make kwenye maana unaongeza zaidi jitazame mkuuMawazo kama haya hayaji tu hivi hivi ni mwanzo wakutaka.
kuleft group
Unawezaje kukataa pisi ya haja mkuu?Kama ni mwanaume unakubali kubali tu kila kitu, JITAFAKARI
Wanawake wenye nyashi siwezi kupingakama kila mwanamke anakuvutia basi wewe ndo wale zoa zoa
Hatupendi mkuuSiwezi kulala na mwanamke eti kisa kanipenda
Lazima na mimi nipende
Sio kila pisi ni ya kupigaUnawezaje kukataa pisi ya haja mkuu?
IlaaaSisi
Hatupendi mkuu
Alinitongoza ilikuwa mara ya kwanza ningesemaje hapana huku sio jadi yetu?Huwezi kulala na kila mwanamke. Wengine acha wapite kushoto
Achana na kuendekeza wanawake.Alinitongoza ilikuwa mara ya kwanza ningesemaje hapana huku sio jadi yetu?
Lkn haki sawa mkuuWameshanitongoza na nakataa,au nawakwepa!Siwezi kukubali eti kisa tu nimetongozwa na mwanamke.Kwangu raha inakuja ninapotongoza mwenyewe.
Aisee