King Jody JF-Expert Member Joined Oct 8, 2022 Posts 1,834 Reaction score 3,456 May 17, 2024 #1 Unakuta mwanaume kabisa tena mtu mzima unaweka status kibao eti kumbukizi ya siku ya kuzaliwa, 'Birthday Party' ni kwa ajili ya wanawake na watoto, mwanaume hupaswi hata kujua kama ulizaliwa. Nb. uzi tayari
Unakuta mwanaume kabisa tena mtu mzima unaweka status kibao eti kumbukizi ya siku ya kuzaliwa, 'Birthday Party' ni kwa ajili ya wanawake na watoto, mwanaume hupaswi hata kujua kama ulizaliwa. Nb. uzi tayari
Mpaji Mungu JF-Expert Member Joined Apr 24, 2023 Posts 13,544 Reaction score 43,537 May 17, 2024 #2 Sema sticker ya huyo mdada kwenye NB anakibinua vizuri
Mwanga Lutila JF-Expert Member Joined Nov 10, 2016 Posts 4,208 Reaction score 14,143 May 17, 2024 #3 Broo sisi watu maskini hatuna hela tu Mzee .. Ila kama unapesa ya ziada we fanya tu ... Ila naamini katika umri huo 40 + utafanyiwa na familia .. 30+ na kuendelea hata mawazo ya birthday yanakuwa hayapo kwa wengi kwasababu ni umri wa pilikapilika...
Broo sisi watu maskini hatuna hela tu Mzee .. Ila kama unapesa ya ziada we fanya tu ... Ila naamini katika umri huo 40 + utafanyiwa na familia .. 30+ na kuendelea hata mawazo ya birthday yanakuwa hayapo kwa wengi kwasababu ni umri wa pilikapilika...
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 26,961 Reaction score 77,890 May 17, 2024 #4 Mpaji Mungu said: Sema sticker ya huyo mdada kwenye NB anakibinua vizuri Click to expand... Code?