Mwanaume usiendekeze majukumu

Mwanaume usiendekeze majukumu

Familia inapaswa kukutunza, wewe ukitafuta yenyewe inakutunza. Mkeo anapaswa kukutunza, mavazi yako, nguo zako, mwonekano wako ni jukumu lake.

Asubuhi akuandalie shati, suruali, viatu. Hata kama umeandaa mwenyewe yeye ana wajibu wa kurekebisha mwonekano wako iwapo upo hovyo, Pesa unayompatia mkeo anapaswa kukumbuka na vishati na visuruali akiwa huko kwenye mihangaiko yake.

Unachonunua ndicho mnachokula wote. Chakula unachopeleka nyumbani, ndicho mke anachopika, ndicho baba anachokula ndicho watoto wanachokula.

Kama inawezekana hata mara moja moja chakula cha mchana mkeo anaweza kukuletea ukala au ukaenda nyumbani. Kama wote ni watu wa kazini mara moja moja pitianeni mkale pamoja popote. Watoto pia wanakula mashuleni mchana hivyo hicho chakula cha mchana kinaliwa mara chache na wote, cha usiku ndo mnakula wote.

KAMA HAIWEZEKANI KUISHI HAYO MAISHA HAKUNA SABABU YA KUFUNGA NDOA, ZAENI MLEE WATOTO. MAISHA GANI HAYO KILA MTU KIVYAKE SAWA TU NA WALIO SINGLE?
Huu ushauri ni sawa.
 
Tena ni upumbavu uliotukuka, mama yangu aliniambia neno nikiwa mtoto mwanangu ukiwa mkubwa naomba ujipende sisi wanawake hatuna shukrani hata kidogo.
Duh, Kweli malezi yanatofautiana. Kuna wazazi ni vice versa kabisa. Wao ni Tunza watoto wako, mtunze mkeo na MUNGU atakupa mke anayekutunza.
 
Perfume zaid ya 1, alafu unapuliza kwa mbaaali, mtu hakusomi kabisa na hakuelewi umejipulizia ipi
😂
 
Duh, Kweli malezi yanatofautiana. Kuna wazazi ni vice versa kabisa. Wao ni Tunza watoto wako, mtunze mkeo na MUNGU atakupa mke anayekutunza.
Tunza ukiwa unajitunza na wewe, we vaa nguo zenye viraka kisa kupendezesha mkeo.
 
Tunza ukiwa unajitunza na wewe, we vaa nguo zenye viraka kisa kupendezesha mkeo.
Haipaswi kuwa hivi sasa. Mkeo anapaswa kukutunza. Unavaa nguo za viraka akiwa wapi? Mwonekano wako ni jukumu lake. Kama una mke asiyejali mwonekano wako bora kutokuwa na mke.
 
True stori manzi yangu wa kwanza(first x)nlikuwa nikimnunulia kitu mfano viwalo au perfume za gharama alikuwa ananikumbatia Kwa tabasamu mabusu kedekede na mbususu za kuzidi.Ila Kuna siku nikachukua shati tu la buku Saba,na bahati mbaya skuhiyo home walikula dagaa kauzu Kwa kweli nilisemwa sana.Yaani alinisema kishenzi na kunipa lecture kuwa mwanaume hutafuta Kwa ajili ya famili na Sio Kwa ajili yake,yaani nilisemwa kishenzi.Najiuliza wanawake sijui mnatuonaje.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Unachosema ni ukweli mkuu, niliwahi kuwa na girlfriend yule wa njoo tuishi pamoja nikaanza kujikuta ndo head of the family... Pisi ilinikuta braza men navaa napendeza ila baada ya kuwa nayo nikawa natoboa hata mwezi kichwa hakimjui kinyozi, kiufupi nikapoteza nuru kwa kujifanya najua sana majukumu ya head of the family hivyo sihitaji kujipara sana, Jua likanichoma sana rangi yangu ya light skin ikawa Dark and finally nikajaku-realise ya kwamba ni kama nimeshajiaharibu and value yangu ile aliyonipendea yule pisi ishashuka then finally guess what? Akapatikana mwingine anaejipenda nikaachwa mimi matarko nisiejua kujipenda na kujifanya najua kupenda..... Since there nimeanza kujipenda now ratiba yangu ni Kazi,Gym na Kutafuta pa kupolea and I'm on the level ambayo nawaringia sasa.
 
True stori manzi yangu wa kwanza(first x)nlikuwa nikimnunulia kitu mfano viwalo au perfume za gharama alikuwa ananikumbatia Kwa tabasamu mabusu kedekede na mbususu za kuzidi.Ila Kuna siku nikachukua shati tu la buku Saba,na bahati mbaya skuhiyo home walikula dagaa kauzu Kwa kweli nilisemwa sana.Yaani alinisema kishenzi na kunipa lecture kuwa mwanaume hutafuta Kwa ajili ya famili na Sio Kwa ajili yake,yaani nilisemwa kishenzi.Najiuliza wanawake sijui mnatuonaje.
Manzi yako. Kwanza manzi hahudumiwi, anahudumiwa na wazazi wake. Hudumia mkeo hao wengine kama una nyege na yupo tayari kukupa mlipe umle aende zake. Mlipe hata laki ila mara moja, mle aondoke zake rudi kwa mkeo. MANZI AHUDUMIWI, ANALIPWA ATOE NGONO.
 
Unachosema ni ukweli mkuu, niliwahi kuwa na girlfriend yule wa njoo tuishi pamoja nikaanza kujikuta ndo head of the family... Pisi ilinikuta braza men navaa napendeza ila baada ya kuwa nayo nikawa natoboa hata mwezi kichwa hakimjui kinyozi, kiufupi nikapoteza nuru kwa kujifanya najua sana majukumu ya head of the family hivyo sihitaji kujipara sana, Jua likanichoma sana rangi yangu ya light skin ikawa Dark and finally nikajaku-realise ya kwamba ni kama nimeshajiaharibu and value yangu ile aliyonipendea yule pisi ishashuka then finally guess what? Akapatikana mwingine anaejipenda nikaachwa mimi matarko nisiejua kujipenda na kujifanya najua kupenda..... Since there nimeanza kujipenda now ratiba yangu ni Kazi,Gym na Kutafuta pa kupolea and I'm on the level ambayo nawaringia sasa.
uliuziwa uchi kwa bei kubwa mno? Tunajifanya wajanja ila wazee wetu kuweka utaratibu wa kuishi na mwanamke hawakuwa wajinga.

Yaani malaya wamekuwa smart sana, anakudanganya muishi pamoja bila utaratibu wa kuhusisha wazee wenu halafu wewe umuhudumie na yeye akupe uchi.

Unafanya Biashara kichaa na malaya bila kujua. Unanunua uchi kwa gharama kubwa mno.
 
Aisee umeongea point. nzuri Sana.Kwa Kweli wanaume tunabe a majukumu mazito Sana Hadi tunajisahau. wenyewe.
 
True stori manzi yangu wa kwanza(first x)nlikuwa nikimnunulia kitu mfano viwalo au perfume za gharama alikuwa ananikumbatia Kwa tabasamu mabusu kedekede na mbususu za kuzidi.Ila Kuna siku nikachukua shati tu la buku Saba,na bahati mbaya skuhiyo home walikula dagaa kauzu Kwa kweli nilisemwa sana.Yaani alinisema kishenzi na kunipa lecture kuwa mwanaume hutafuta Kwa ajili ya famili na Sio Kwa ajili yake,yaani nilisemwa kishenzi.Najiuliza wanawake sijui mnatuonaje.
Hio haiwezi kuwa sawa na changamoto hii inawakumba wanaume wengi sana
 
Back
Top Bottom