Mwanaume, usiharakishe kujiaminisha kuwa mwanamke uliye naye ni wa maisha. Mpime siku zote za maisha yako.

Tusipangiane wewe
 
Hivi ukimchukua tu mkazaa bila kufunga ndoa kinapungua nn kiasi kwamba ata akbadilika baada ya miaka 20 anakuwa substituted?
 
Asee Ni kumwomba Mungu TU maana unaweza tumia akili ila Bado mambo yasiwe powa
 
Watu wanapenda kujichosha, binadamu hachunguziki. Kama unataka kuishi kwa amani iwe katika ndoa na kwingineko jaribu kutenda yale unayopenda kutendewa period. Sasa ukae na mke/mume for 10 years na bado unajiuliza eti ndie au sie.
 
Kuna Mshikaji hapa kitaa amefariki alikuwa anaishi na Mwanamke yaani hata 40 haijafika Mwanamke ameshaanza kuleta migogoro na ndugu wa marehemu mpaka wanahisi au kamuuwa jamaa yaani mpaka kashikiria kila kitu funguo za gari hataki kutoa mpaka simu za marehemu kazing'ang'ania tena yupo macho makavu kweli
 
Bikra kibao ni wazinifu wa kutupa..
 
Hatar sana mpaka uishi nae ndo utajua huyu nilioa kwa kubet
Hapa ndipo penye shida kubwa. Utasikia watu wanakushauri "oa mwanamke sahihi" kwani kuna mwanaume asiyetaka kuoa mke sahihi? Kuoa ni kubet maana kuujua usahihi wa mwanamke ukiwa bado hujamuoa ni kazi ngumu sana

Miezi sita ya ndoa huwa ni mitamu sana jamani, ila kuanzia mwezi wa 7 kunaanza vipichapicha fulani hivi utajuta na kujuta tena endapo hutokuwa na moyo wa uvumilivu na hekima
 
Kwa sasa taraka, mirathi na child support ni miradi ya kibiashara kwa wanawake duniani kote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…