Mwanaume usikate tamaa unapompenda mwanamke, wanawake wana huruma sana

umetisha
 
Sasa wewe uliyemuelewa umefikia wapi ndugu yangu?hapa kazi tu.kila mtu afanye kazi kwa eneo lake.na amesema tufyatue tu unadhani unafyatua nini?matofali.

Kwa hali hii.. Sidhani kama watanzania tutakaa tumuelewe president magufuli
 
Sidhani kama unafaham kwa sasa nlipo kimaendeleo.maana kama ingekuwa ni suala la maendelo tu akina trump na wengineo wasingekuwa wana pata mademu kabisa na kuhonga.wewe kazana kwenye maendeleo yako sisi wengine tuachie huku... Maana huujui uwezo wangu kiuchumi.

Nguvu ulizotumia kushawishi na kulia ungezihamishia kwenye maendeleo ungekua mbali sana
 
hahahahah wee jamaa miaka yako plzzzy ..
"eti nikamuomba nigusishe kidogo akakubali" wtf[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Umenikumbusha mbali [emoji23][emoji23]
 
...kuna mmoja aliniambia nyie wanaume mkikataliwa huwa mnajisikia vibaya kwa huruma,nikasema vizur unatambua uwepo wako dunia hvyo hukutaka kuniangusha...
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ila uyo manzi kama angeamua kukutoa roho ungekua marehemu sa ivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…