Mwanaume usikubali kuuza nafasi yako uliyopewa na Mungu kama kichwa cha familia, hata umpende mwanamke kiasi gani nafasi yako ndio heshma yako

Mwanaume usikubali kuuza nafasi yako uliyopewa na Mungu kama kichwa cha familia, hata umpende mwanamke kiasi gani nafasi yako ndio heshma yako

Asante mama D,

Tatizo tunakimbiza wanaume sisi wenyewe..

Tunadhani baba ni yule anayeleta vitu vya mtoto nyumbani..

Hatuangalii kama mwanaume ana kazi ya kumuingizia kipato ana responsibilities nyingi....

Inabidi tujifunze kupitia hili,

Mwanaume akitaka kuwa involved na malezi ya mwanae tumpe ruhusa,mwenyewe atajiongeza kununua vitu kutokana na uwezo wake..

Tusitumie mtoto kama silaha kupata tunachotaka,

I agree wanaume wengi siku hizi wako irresponsible, inapenda kuzaa tu na kuchepuka...hovyoooooooooo 😡 😡 😡 😡

Ila umuhimu wao upo pale pale,

Watoto waliozaliwa na kujua upendo wa mama na baba, wanakua vizuri kuliko kukosa malezi hayo,kunaleta hasira/resentment ..sishangai watoto waliokataliwa kuendeleza laana hio kwa kukataa watoto na wao wenyewe....

Sishangai baba dai kumkataa mwanae, katika swala linalowasumbua wanaume ni perternity ..sasa mke ndio huyo anaruka mpaka saa nane usiku.....kweli kwa akili ya kawaida, utakubali mtoto ni wako katika mazingira hayo

Pole mzee Abdul, Mungu aliyekupigania siku zote hatakuacha kamwe!
 
Alikua anatumia hilo jina kama fimbo ya kumchapa mama nasib na mwanae, hakujua mwanamke akichoka anakua mbaya kuliko ubaya wenyewe
Na ikitokea mwanaume akachoka [emoji848]
 
Asante mama D,

Tatizo tunakimbiza wanaume sisi wenyewe..

Tunadhani baba ni yule anayeleta vitu vya mtoto nyumbani..

Hatuangalii kama mwanaume ana kazi ya kumuingizia kipato ana responsibilities nyingi....

Inabidi tujifunze kupitia hili,

Mwanaume akitaka kuwa involved na malezi ya mwanae tumpe ruhusa,mwenyewe atajiongeza kununua vitu kutokana na uwezo wake..

Tusitumie mtoto kama silaha kupata tunachotaka,

I agree wanaume wengi siku hizi wako irresponsible, inapenda kuzaa tu na kuchepuka...hovyoooooooooo 😡 😡 😡 😡

Ila umuhimu wao upo pale pale,
Wewe
Watoto waliozaliwa na kujua upendo wa mama na baba, wanakua vizuri kuliko kukosa malezi hayo,kunaleta hasira/resentment ..sishangai watoto waliokataliwa kuendeleza laana hio kwa kukataa watoto na wao wenyewe....

Sishangai baba dai kumkataa mwanae, katika swala linalowasumbua wanaume ni perternity ..sasa mke ndio huyo anaruka mpaka saa nane usiku.....kweli kwa akili ya kawaida, utakubali mtoto ni wako katika mazingira hayo

Pole mzee Abdul, Mungu aliyekupigania siku zote hatakuacha kamwe!
Kwenye haya mahusiano ya Abdul na gelofriend wake kulikua na makosa ya mazoea kwao wote.
Hakukua na commitment zaidi ya kutimiza matakwa ya miili yao wawili

Ndio maana mwanamke alipochoka akatafuta chumba kingine na mwanaume akaondoka na mawasliano yakakomea hapo. Mtoto alipokua na kipato Yule aliyekimbia akarudi na madai shida ndio ilipoanzia
 
Eli79 sasa kama Abdul alikua analala na mama nasib nyumbani kwa wazazi wake alipopata uchungu angebaki nyumbani na mamamkwe halafu majirani ndio wampeleke Amana!?

Mama Nasib kasema ni kweli alimpeleka hosp lakini hajawahi mlea nasib...... inaelekea mzee alikua analelewa yeye

Alimpeleka kama nani, si alijua mimba ni yake ama vipi!!
 
Inajulikan kama wanatafuta views so nin lifanyike achen kufuatilia Sana mambo yao hayo wakuu nikupotez mdaaa
 
Sandra amekuwa mfano mbaya kwa single mothers wote, siku hizi wanajifariji eti tukiwatelekeza watoto wao watakuja kuwa Platinumz.!
Mara Paaap Kashaulo kawa mzee Abdul 😂😂🤣

Ila ukimlea mtoto ni raha sana,
 
Inajulikan kama wanatafuta views so nin lifanyike achen kufuatilia Sana mambo yao hayo wakuu nikupotez mdaaa
Tuko duniani kujitenga tena yasiyokatazwa kisheria sio rahisi😂
 
Kwenye haya mahusiano ya Abdul na gelofriend wake kulikua na makosa ya mazoea kwao wote.
Hakukua na commitment zaidi ya kutimiza matakwa ya miili yao wawili

Ndio maana mwanamke alipochoka akatafuta chumba kingine na mwanaume akaondoka na mawasliano yakakomea hapo. Mtoto alipokua na kipato Yule aliyekimbia akarudi na madai shida ndio ilipoanzia

Hahaa nasikia alimuacha na kukimbia na kijana kutoka south, mimi naona wote wana makosa, huyu mama alikua anatafuta security, ni makosa tunayafanya wanawake kila leo, baba dai angekua na kazi ya kumuingizia kipato leo Daimond angekua mwanae( namaanisha mama yake asingechepuka)...story yao tunatengeneza matukio 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Swali linakuja, utamjua vip mwanaume ambae anautayari wa kusimama kama kichwa cha familia ??
 
Hahaa nasikia alimuacha na kukimbia na kijana kutoka south, mimi naona wote wana makosa, huyu mama alikua anatafuta security, ni makosa tunayafanya wanawake kila leo, baba dai angekua na kazi ya kumuingizia kipato leo Daimond angekua mwanae( namaanisha mama yake asingechepuka)...story yao tunatengeneza matukio 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

Ndivyo Abdul anavyosema. Ila angekua mke wake kisheria mke asingemkimbia. Abdul alikosea sana kuhamia kwenye familia ya gelofriend ambae hata mahari hakulipa

Na alipoondoka alikua mambo safi tuu mtoto wa kariakoo ila sababu nasib na mamake hawakua na umuhimu kwake hakuwahi kuwasaidia. Hata pale nasib alipomfata kumwomba amsaidie ada aligoma
 
Swali linakuja, utamjua vip mwanaume ambae anautayari wa kusimama kama kichwa cha familia ??
Anakua na uelewa na ushirikiano na welfare ya mwanamke anayempenda ikiwemo mambo ya imani na jamii
 
Mara Paaap Kashaulo kawa mzee Abdul [emoji23][emoji23][emoji1787]

Ila ukimlea mtoto ni raha sana,

Scenario yake ni ngumu sana, watoto wengi wenye utata tumewakataa na wakikua wanamtafuta baba halisi.... hii ya Platinumz ni moja tu haitoshi kuhalalisha ubambikwaji.
 
Ndivyo Abdul anavyosema. Ila angekua mke wake kisheria mke asingemkimbia. Abdul alikosea sana kuhamia kwenye familia ya gelofriend ambae hata mahari hakulipa

Na alipoondoka alikua mambo safi tuu mtoto wa kariakoo ila sababu nasib na mamake hawakua na umuhimu kwake hakuwahi kuwasaidia. Hata pale nasib alipomfata kumwomba amsaidie ada aligoma

Baba Dai ana makosa ya kujitokeza kutaka kufaidika kwa kupitia mgongo wa mwanae, ila bado nasimama na yeye nahisi hakufanya hayo yote ya kumlipia mtoto na kumtunza sababu aliamini mtoto si wake, sasa kilichomtoa huko mafichoni ni nini kama maisha yako yote unaamini mtoto si wako?....Ngoja tuendelee kutunga matukio 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom