zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Ongezea ukipenda kupewapewa hakikisha kitundu huzuni unakiweka rehaniMwanamke fanya kazi usipende kupewa pewa kama kilem
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongezea ukipenda kupewapewa hakikisha kitundu huzuni unakiweka rehaniMwanamke fanya kazi usipende kupewa pewa kama kilem
Mwamba ukiruhusu mpenzi wako ajihudumie mwenyewe itakuwa imekula kwako maana atakudharau milele 😂kama unapenda hayo mambo tafuta tajiri, sio unamchukua mlala hoi kajichokea unammaliza kabisa kisa tamaa zako
Aisee msitufanyie hivyo watoto wa wanawake wenzenu
Apite hivi.Mwamba ukuruhusu mpenzi wako ajuhudumie mwenyewe nimekula kwako atakudharau milele 😂
Umuhudumie yeye anaweza kukuhudumia without limit wakati ukiomba TIGO anachomoa ajihudumie mwenyewe basiMwamba ukuruhusu mpenzi wako ajuhudumie mwenyewe nimekula kwako atakudharau milele 😂
Wewe Mwanaume?Msiwaendekeze sasa
Anaweza kuwa mwanaume huyu maana mwandiko wake ni wakiume 🤣Wewe Mwanaume?
Ukiomba mechi halafu ukakimbiwa basi ujue hujui kutongoza ***** 😁mbn niny mkiombwa mechi mnakimbia
Unataka kumfilimba mtoa Mada?Nikikuomba TIGO utanipa kabla sijalipa bills?
karne yakina yakobo unalinganisha na karne ya sasaMwanaume kamati hii...
Ikiwa mpenzi wako ni mzigo kwako, basi haumpendi.
Na ikiwa unampenda, lipa bili. Mtoe out kwa chakula cha jioni angalau mara moja kwa wiki.
Mnunulie losheni, manukato, vipodozi na mavazi mazuri apendeze,mtafutie usafiri mjengee nyumba na umtunze maisha yake yote.
Jifunze kwa mwamba Yakobo..
Huyu mwamba alifanya kazi kwa miaka 14 ili kumpata mrembo Raheli. Na kisha akamfanyia kazi Raheli kwa kumtunza maisha yake yote.
Acha kukwepa majukumu yako man
ahahah wakongwe naowaonaUkiomba mechi halafu ukakimbiwa basi ujue hujui kutongoza ***** 😁
💐Mnawafanya wanawake kama vilema aseee
Uliyoelezea kwa uchache ni mambo anafanyiwa mtu asiye na mikono/miguu
Hii itakuwa wiki ya nenda kwa usalama kwa wanaume ee!
Nimnunulie losheni kabla ya kuwa naye alikuwa anapaka grisi? hivi Halima mdee nani anamtunza au salama?
Kwani wee umewaza nn had uwatajee hao? Si wanatunzwa na wanaume wao?Hii itakuwa wiki ya nenda kwa usalama kwa wanaume ee!
Nimnunulie losheni kabla ya kuwa naye alikuwa anapaka grisi? hivi Halima mdee nani anamtunza au salama?