Mwanaume usikwepe majukumu yako kwa mpenzi wako umpendaye

Mwanaume usikwepe majukumu yako kwa mpenzi wako umpendaye

4ca5ac0b6728c3543f2c340c246baf78.jpg
 
Haki sawa kwa uhalisia haikuwa kwenye majukumu bali kwenye Elimu na vitu vingine kwamba mtoto wa kike asiachwe nyuma.

Tatizo ni sisi tuliichukulia tofauti.

Ili jamii yetu iendelee lazima tuwekeze katika kuwapa watu kazi kulingana na uwezo bila kuangalia jinsia
I love this!
Kama haki sawa ilimaanishwa hivyo
 
Ila hii agenda mnaipush nyinyi na NGO zinawasaidia sana kupush kila siku, ila sasa kuiweka kwenye reality na kuiishi ndipo mnaposhindwa.

Mimi mwanamke akishaanza kuongea 50/50 na kuishupalia na muonea huruma,kwani najua tayari ameshapotea mazima.

50/50 aliyoelezea HIMARS sio mbaya
 
Ndo maana sahivi wanaume wengi hawapendi wanawatamani tu maana kutamani hakupo complicated hivyo, Unaweka hela mezani unakunja mtu alafu kila mtu na hamsini zake.

Love is real when its unconditionally.
 
Haki sawa kwa uhalisia haikuwa kwenye majukumu bali kwenye Elimu na vitu vingine kwamba mtoto wa kike asiachwe nyuma.

Tatizo ni sisi tuliichukulia tofauti.

Ili jamii yetu iendelee lazima tuwekeze katika kuwapa watu kazi kulingana na uwezo bila kuangalia jinsia
Hivi wewe unaelewa unachoandika kweli!!!? Yaani mmoja awajibike zaidi ya mwingine alafu useme haki sawa!!!?

Yaani ni sawa na useme kwamba mume aajiriwe na mke aajiriwe pia ila likifika suala la mshahara basi mume aweke mshahara wake mezani ugawanywe kwenye matumizi alafu mke mezani asiweke kitu kwa sababu hana jukumu la kuhudumia familia!!!

Yaani kwa hizi mindset za pisi za bongo mtaendelea kuolewa na wadhaifu… Kama umepewa haki yako unajishughulisha na hela yako haionekani msaada kwa familia basi wewe ni useless tu kwa mumeo… Wewe ni msaidizi sio sextoy jifunze kutengeneza dhamani kwa mumeo ndo maana wanaume wanatoka sana nje ya ndoa maana kuna muda anajiuliza tofauti yako na mchepuko haioni ni kwamba tu wewe ulimtangulia mchepuko.
 
mbona unakuwa mkali kwenye style za maisha ya watu binafsi mzee
Hapana,

Sizungumzii style za maisha ya watu binafsi.

Nazungumzia hoja za kifalsafa zilizoletwa JF kujadiliwa.

Style za maisha ya watu binafsi zipo katika maisha yao binafsi. Ukishaleta jambo JF linakuwa limewekwa kwenye "public square" kwa maongezi ya kijamii.

Huwezi kunikuta nimeanzisha maongezi hapa JF kumsema mtu kwa sababu kaamua kumhudumia mpenzi au mke wake, hapo nitakuwa nimemuingilia mtu kwenye mambo yake binafsi.

Lakini, mtu akiweka mada hapa JF naweza kuchangia kifalsafa bila kumuingilia mtu maisha yake binafsi.

Sijui kama umeelewa tofauti.

Abstract thinking si kuingilia maisha ya mtu binafsi
 
Acha usengerema singo maza endelea kudanga hadi nyapu iburuze chini kwa kulegea
 
Umemfanya mwanamke awe ni mtu wa kuhudumiwa kama mtoto, kama kilema, kama mtu asiye na akili.
Sijaongelea hizo mambo za kumfanya mwanamke awe kama kilema ama mtoto wa kuhudumiwa tu.

Soma vizuri nilichoandika
 
Hapana,

Sizungumzii style za maisha ya watu binafsi.

Nazungumzia hoja za kifalsafa zilizoletwa JF kujadiliwa.

Style za maisha ya watu binafsi zipo katika maisha yao binafsi. Ukishaleta jambo JF linakuwa limewekwa kwenye "public square" kwa maongezi ya kijamii.

Huwezi kunikuta nimeanzisha maongezi hapa JF kumsema mtu kwa sababu kaamua kumhudumia mpenzi au mke wake, hapo nitakuwa nimemuingilia mtu kwenye mambo yake binafsi.

Lakini, mtu akiweka mada hapa JF naweza kuchangia kifalsafa bila kumuingilia mtu maisha yake binafsi.

Sijui kama umeelewa tofauti.

Abstract thinking si kuingilia maisha ya mtu binafsi
hapo nimekuelewa mr kiranga

ila nipo na swali hapa mkononi

kama una mpenzi wako uko naye kwenye mahusiano kwa muda tu

je hutakiwi kumpa pesa akiwa na uhitaji ???

naomba kujua upande wako kwenye swala hilo
 
Sijaongelea hizo mambo za kumfanya mwanamke awe kama kilema ama mtoto wa kuhudumiwa tu.

Soma vizuri nilichoandika
Ukiandika habari za mwanamke kuhudumiwa yeye tu bila ya reciprocity umemfanya kuwa kilema au mtoto.
 
hapo nimekuelewa mr kiranga

ila nipo na swali hapa mkononi

kama una mpenzi wako uko naye kwenye mahusiano kwa muda tu

je hutakiwi kumpa pesa akiwa na uhitaji ???

naomba kujua upande wako kwenye swala hilo
Kumpa pesa mpenzi wako si tatizo.

Tatizo ni hii hoja ya kumfanya mwanamke ni mtu wa kuhudumiwa tu.

Tatueni matatizo ya umasikini wanawake wapate ajira wawe na kazi waondoe utegemezi.
 
Tutunzani sio nikutunze tutunzane maisha yaendeleee wazazi wako wamekutunza bado hujatosheka.
 
Sio kweli 50/50 ni kitu ambayo iko wazi haiwezekani,hii ikifuatwa mwanamke atakuwa na mengi ya kupoteza
Kilichonikaa akilini ni kusaidiana...sio majukumu fulani ni LAZIMA yafanywe na fulani
 
Back
Top Bottom