Mwanaume usitengeneze mtoto na mwanamke ambaye hautaishi nae.

Mwanaume usitengeneze mtoto na mwanamke ambaye hautaishi nae.

Zemanda

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2021
Posts
8,323
Reaction score
18,051
Ni uongo au kujitoa ufahamu kusema mwanaume hauna akili ya kujua kuwa huyu mwanamke ana red flags za kutosha kukupa mrejesho kuwa hautadumu nae na hatobadilika hata ufanye nini.

Mwezi wa kwanza tu wa kuishi na kuwa karibu na mwanamke tayari kwa mtoto wa kiume mwenye ubongo unaofanya kazi kiume unakuwa umeshapata notifications za kukutosha kujua huyu ni 20% ya mwanamke ninayewezana nae au ni 90% ya mwanamke ninayewezana nae.

Kujitoa ufahamu na kuzaa na mwanamke ambaye kila unapomtazama ubongo na akili yako vinakuhoji kama kweli wewe upo serious na future ya watoto wako kuwapa mama wa namna hiyo ni sehemu ya wewe kuchagua wala si bahati mbaya au ajali ni makusudi.

Usiniambie ni nikufundishe namna ya kuchagua mke wakati huku mtandaoni kuna elimu kuanzia chekechekea hadi Phd ya namna ya kutambua mwanamke bora na kuona red flags kwa wanawake wenye vipengele.

Kwetu sisi wanaume, wanawake ni kama kuchagua gari, huwezi kwenda dukani ukaambiwa uchukue gari sababu wahudumu wa yard wanakushawishi vizuri kulinunua bali utatazama namna utaweza mudu kuishi nalo kama vile baba yako,babu yako au mjomba wako alivyodumu na ile Hilux yake au Peugeot 504,au Land Rover 110 yake ambayo imedumu nae tokea akiwa kijana mtafutaji hadi amekuwa mstaafu.

Narudia tena,kuwa makini sana ni wapi unakwenda kuweka mtoto wako. Unafanya maamuzi ambayo matokeo yake mtoto wako asiye na hatia atadumu nayo maisha yote. Imagine yule kijana aliyezaa na giggy money,imagine yule mzungu aliyezaa na Mange kimambi, imagine majuto yao kutokana na kuleta mzaha na kuchagua sehemu ya kwenda kuweka watoto.

Kama umeamua kutafuna pisi tafuna tu kwa mihemuko ya tamaa za mwili ila usirubunike ukaacha mtoto kwa hawa freemason ambao wanafanya kila aina ya vituko,itakutesa na kukuandama maisha yako yote ukimtazama mwanao akishuhudu matukio ya mama kilaza.

Kumbuka namna wewe ukiwa mdogo kipindi kile ukirejea nyumbani,yule mwanamke uliyemkuta nyumbani kajitanda khanga au vitenge, ambaye haujawahi kumsikia akitukana matusi,kuvaa nguo za utupu,kumuona mitandaoni akibidua mkalio,kuona picha zake za kujidhalilisha,na wewe ukamwita mama kwa ufahari,huyo ni mwanamke baba yako alikuweka na leo unaona ukisema neno mama inakujia taswira yake.

Sasa muwazie mtoto wa giggy money na mtoto wa mange kimambi namna wanaona mama zao vitu wanapost mitandaoni,maneno machafu wanayoandika au kujirekodi wakiyatamka na kupost. Imagine watoto hujiuliza swali gani kichwani huku wakiona wenzao wana mama wanajiheshimu? Hapa si tayari umepatia mtoto wako laana ya malezi,aibu ya maisha na msongo wa mawazo bila hatia yoyote.

Hizo hamu zako zisikupeleke ukampa mtoto kifungo cha maisha. Ndoa ni Pepo ya mtoto/watoto,hebu jitahidi basi umpatie,kosa utajiri,kosa pesa,kosa mali ila mtoto wako apate familia salama ya makuzi na mama bora wa kumlea. Tupambane sana hili eneo,kuwa mkali,mkaksi,na simama na principles eneo hili.

Kama wewe baba yako alikupa mama muhudumu wa Bar usirudie hilo kosa kwa wanao,kama baba yako wewe alikuacha kwenye uzao wa mama kahaba usije ukarudia hiyo dhambi, kwa kifupi makosa ya baba yako sio urithi wako,ukatae tengeneza kizazi chako wewe.

Kumbuka,wewe unaweza kuchagua mke na kuacha ili uchague mwingine,watoto wako hawana hiyo nafasi ya kubadilisha Mama sababu mama ni mama na huwa ni m'moja tu,na hata ukimkataa sehemu ya mwili wako kwa asilimia 80% itakuwa inakuunga na huyo mama na kukutaka umuwazie na kumtafuta hata kama ni mkorofi au mtu wa hovyo. Watoto hawachagui mama bali wanamkuta, acha upumbavu wako eneo hili, wanawake wazuri wenye adabu na utii wapo na ni wengi, usiende chukua malaya, mdangaji, traumatized female na kumgeuza mama wa watoto wako, utawatesa watoto, ni bora watoto wakute mama hana tako, hana shepu na sio mzuri ila wakapata mwalimu mzuri wa maadili, rafiki wa baba, msimamizi wa familia, na mfariji wa familia wa viwango vinavyotakiwa.

Chapa pisi kali kisha tembea ila weka ndani mke na mama bora kwaajiri ya familia yako.

Kwa ushauri wa bure unaweza nitafuta bila gharama yoyote upate msaada kama una struggle eneo hili.
 
Swala ni kwenda na viwango,sasa mtu anavuta bangi unaanzaje nae mahusiano? Yaani watoto wawe na mama anavuta bangi?🤔
Haujanielewa vizuri, yaani pia kuna wanaume wanavuta bangi na wanawake wanavuta bangi , wanaume wema na wanawake wema , na wanaume waovu na wanawake waovu hii imekaaje katika kuchaguana , kwa sababu naona kama inakula kila upande🤔
 
Kama umeamua kutafuna pisi tafuna tu kwa mihemuko ya tamaa za mwili ila usirubunike ukaacha mtoto kwa hawa freemason ambao wanafanya kila aina ya vituko,itakutesa na kukuandama maisha yako yote ukimtazama mwanao akishuhudu matukio ya mama kilaza.
Duuh washakuwa freemason tena?
 
Zemanda umeongea jambo la msingi sana hili pia litapunguza hali ya usingle mother shida kuu ya baadhi ya sisi wanaume hatujitambui tumejikuta tunaongozwa na hisia kama wanawake wakati kiuhalisia mwanaume unatakiwa uongozwe na akili zaidi kwa kila unachofanya hili linauepukika mno. Kutokutumia akili ndio kunapelekea kukimbia majukumu ya kukimbia kulea wakati unajua kabisa huyu manzi sitaki kuzaa nae kwanini sasa unajiachia
 
Learn driving but don't risk owning these cars.

These Cars are for driving school, Don't risk taking them home.

After you finish your driving classes leave the cars at the school and find your own car of your choice and drive it in peace.

Don't try to own these cars...👇
Screenshot_20240625-071715_1.jpg
 
Haujanielewa vizuri, yaani pia kuna wanaume wanavuta bangi na wanawake wanavuta bangi , wanaume wema na wanawake wema , na wanaume waovu na wanawake waovu hii imekaaje katika kuchaguana , kwa sababu naona kama inakula kila upande🤔
Hata kama unajijua wewe wa hovyo basi jitahidi usiwe na mwanamke wa ovyo unaongeza tatizo lingine.kwenye familia yoyote mama ndio huwa msingi mkuu au kiunganishi wa familia yeye ndio anakaa zaidi na watoto so lazima awe bora ili watoto wachukue vitu vizuri kutoka kwake
 
Hata kama unajijua wewe wa hovyo basi jitahidi usiwe na mwanamke wa ovyo unaongeza tatizo lingine.kwenye familia yoyote mama ndio huwa msingi mkuu au kiunganishi wa familia yeye ndio anakaa zaidi na watoto so lazima awe bora ili watoto wachukue vitu vizuri kutoka kwake
Na mwanamke wa ovyo akijitahidi nae asiwe na mwanaume wa ovyo kama yeye ni sawa?
 
Kuna yule mwamba husema learn or perish!

Kigezo cha kufanya mapenzi ni kuwa mmiliki wa mb** au K*** ndipo matatizo yalipoanzia.
 
Ni uongo au kujitoa ufahamu kusema mwanaume hauna akili ya kujua kuwa huyu mwanamke ana red flags za kutosha kukupa mrejesho kuwa hautadumu nae na hatobadilika hata ufanye nini.

Mwezi wa kwanza tu wa kuishi na kuwa karibu na mwanamke tayari kwa mtoto wa kiume mwenye ubongo unaofanya kazi kiume unakuwa umeshapata notifications za kukutosha kujua huyu ni 20% ya mwanamke ninayewezana nae au ni 90% ya mwanamke ninayewezana nae.

Kujitoa ufahamu na kuzaa na mwanamke ambaye kila unapomtazama ubongo na akili yako vinakuhoji kama kweli wewe upo serious na future ya watoto wako kuwapa mama wa namna hiyo ni sehemu ya wewe kuchagua wala si bahati mbaya au ajali ni makusudi.

Usiniambie ni nikufundishe namna ya kuchagua mke wakati huku mtandaoni kuna elimu kuanzia chekechekea hadi Phd ya namna ya kutambua mwanamke bora na kuona red flags kwa wanawake wenye vipengele.

Kwetu sisi wanaume, wanawake ni kama kuchagua gari, huwezi kwenda dukani ukaambiwa uchukue gari sababu wahudumu wa yard wanakushawishi vizuri kulinunua bali utatazama namna utaweza mudu kuishi nalo kama vile baba yako,babu yako au mjomba wako alivyodumu na ile Hilux yake au Peugeot 504,au Land Rover 110 yake ambayo imedumu nae tokea akiwa kijana mtafutaji hadi amekuwa mstaafu.

Narudia tena,kuwa makini sana ni wapi unakwenda kuweka mtoto wako. Unafanya maamuzi ambayo matokeo yake mtoto wako asiye na hatia atadumu nayo maisha yote. Imagine yule kijana aliyezaa na giggy money,imagine yule mzungu aliyezaa na Mange kimambi, imagine majuto yao kutokana na kuleta mzaha na kuchagua sehemu ya kwenda kuweka watoto.

Kama umeamua kutafuna pisi tafuna tu kwa mihemuko ya tamaa za mwili ila usirubunike ukaacha mtoto kwa hawa freemason ambao wanafanya kila aina ya vituko,itakutesa na kukuandama maisha yako yote ukimtazama mwanao akishuhudu matukio ya mama kilaza.

Kumbuka namna wewe ukiwa mdogo kipindi kile ukirejea nyumbani,yule mwanamke uliyemkuta nyumbani kajitanda khanga au vitenge, ambaye haujawahi kumsikia akitukana matusi,kuvaa nguo za utupu,kumuona mitandaoni akibidua mkalio,kuona picha zake za kujidhalilisha,na wewe ukamwita mama kwa ufahari,huyo ni mwanamke baba yako alikuweka na leo unaona ukisema neno mama inakujia taswira yake.

Sasa muwazie mtoto wa giggy money na mtoto wa mange kimambi namna wanaona mama zao vitu wanapost mitandaoni,maneno machafu wanayoandika au kujirekodi wakiyatamka na kupost. Imagine watoto hujiuliza swali gani kichwani huku wakiona wenzao wana mama wanajiheshimu? Hapa si tayari umepatia mtoto wako laana ya malezi,aibu ya maisha na msongo wa mawazo bila hatia yoyote.

Hizo hamu zako zisikupeleke ukampa mtoto kifungo cha maisha. Ndoa ni Pepo ya mtoto/watoto,hebu jitahidi basi umpatie,kosa utajiri,kosa pesa,kosa mali ila mtoto wako apate familia salama ya makuzi na mama bora wa kumlea. Tupambane sana hili eneo,kuwa mkali,mkaksi,na simama na principles eneo hili.

Kama wewe baba yako alikupa mama muhudumu wa Bar usirudie hilo kosa kwa wanao,kama baba yako wewe alikuacha kwenye uzao wa mama kahaba usije ukarudia hiyo dhambi, kwa kifupi makosa ya baba yako sio urithi wako,ukatae tengeneza kizazi chako wewe.

Kumbuka,wewe unaweza kuchagua mke na kuacha ili uchague mwingine,watoto wako hawana hiyo nafasi ya kubadilisha Mama sababu mama ni mama na huwa ni m'moja tu,na hata ukimkataa sehemu ya mwili wako kwa asilimia 80% itakuwa inakuunga na huyo mama na kukutaka umuwazie na kumtafuta hata kama ni mkorofi au mtu wa hovyo. Watoto hawachagui mama bali wanamkuta, acha upumbavu wako eneo hili, wanawake wazuri wenye adabu na utii wapo na ni wengi, usiende chukua malaya, mdangaji, traumatized female na kumgeuza mama wa watoto wako, utawatesa watoto, ni bora watoto wakute mama hana tako, hana shepu na sio mzuri ila wakapata mwalimu mzuri wa maadili, rafiki wa baba, msimamizi wa familia, na mfariji wa familia wa viwango vinavyotakiwa.

Chapa pisi kali kisha tembea ila weka ndani mke na mama bora kwaajiri ya familia yako.

Kwa ushauri wa bure unaweza nitafuta bila gharama yoyote upate msaada kama una struggle eneo hili.
Nimekupenda bure
 
Zemanda umeongea jambo la msingi sana hili pia litapunguza hali ya usingle mother shida kuu ya baadhi ya sisi wanaume hatujitambui tumejikuta tunaongozwa na hisia kama wanawake wakati kiuhalisia mwanaume unatakiwa uongozwe na akili zaidi kwa kila unachofanya hili linauepukika mno. Kutokutumia akili ndio kunapelekea kukimbia majukumu ya kukimbia kulea wakati unajua kabisa huyu manzi sitaki kuzaa nae kwanini sasa unajiachia
Sema mkuu umeongea point kubwa wakati nazaliwa sikuwah kuona mama zetu vaa zile nguo za kuacha vifua wazi, kutungisha mikalio Ata kama kweli mitandao hazikuwepo lakini mtaani ngoma zilikuwepo hutoona wamebinuka kama kizazi cha leo, nakumbuka mdada akivaa kanguo kama anamsabwanda anaufunikia na khanga ama KITENGE Ila pisi za sku hizi unatembe road unaona yaliyomo ndani🤣
Ni full kudisa barabara nzima

Huyu ndo Aina ya demu nilietaka kuoa Ila moyo wangu umekataa kabsa sababu hzo hzo kuvaa kihasara hasara
 

Attachments

  • Screenshot_20241018_180518.jpg
    Screenshot_20241018_180518.jpg
    222.8 KB · Views: 13
Dawa ni kuua mzizi wa tatizo.
Mtoto wa leo ni mzazi wa kesho.
Kuua huo mzunguko au cheni, wazazi waliojikuta au waliopanga au walioamua kuwa na mtoto WANAWAJIBU wa kuhakikisha wanakuwa mfano kwa lugha ya picha kwa huyo mtoto namna ya yeye mtoto kuja kuishi baadae kama baba au mama.

Monkey see, monkey do....

Asilimia 70 hafi 80 ya wazazi wa leo ni matokeo ya walivyolelewa na waliyojifunza kwa walezi wao wakati wanakuzwa.

Ukilea mtoto leo bila kumuandaa kama mke mtarajiwa miaka 20 ijayo au mume mtarajiwa miaka 20 ijayo, bado nyuzi kama hizi zitaendelea kuandikwa na kujadiliwa.

Kila mtu akitimiza wajibu wake, tutakuwa na jamii isiyonyoosheana vidole wala kupeana lawama.
 
Haujanielewa vizuri, yaani pia kuna wanaume wanavuta bangi na wanawake wanavuta bangi , wanaume wema na wanawake wema , na wanaume waovu na wanawake waovu hii imekaaje katika kuchaguana , kwa sababu naona kama inakula kila upande🤔
Exactly!
 
Wakati huo huo agenda ya wale jamaa wa kataa ndoa inazidi kushika Kasi Kila kukicha. Haina maana kuwa hao jamaa hawajamiiani na huenda wanazalisha na kuzaliana.

Mawazo yako ni mazuri na mema sana, tatizo utekelezaji wake ni mtihani kwelikweli. Huwa najiuliza ;hivi inakuwaje unakuta mwanamke ni kichaa lakini ana mimba kuuubwa !!?. Tafsiri yake ni kwamba alijamiiana na mwanaume ambaye baada ya kutupia zygote akalala mbele kwakuwa kiuhalisia hawezi kuishi na huyo mwanamke
 
Back
Top Bottom