Mwanaume usitengeneze mtoto na mwanamke ambaye hautaishi nae.

Ni kweli kabisa au pia kuzaa na mwanamke dizaini ya Giggy Money, Kajala, Wema Sepetu au wasanii wa bongo movie kwani kuna dalili huyo mtoto akawa changudoa as Mama yake na kukutia stress tu kila kukicha.
 
Jamani mwenye namba ya mtoa mada anipatie nimtumie hata buku la soda,ameupiga mwingi sana aiseh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…