Mwanaume usiye na kazi usipende!

Mm beki tatu wamenisadia sana ktk kipindi kigumu mbususa zao walinipa bila madai yoyote na wengine hadi leo tunamawasiliamo mazuri

Nianze kuwashukuru mmoja mmoja hapa hapa
1 sakina omari kutoka singida
2 eliza k,kutoka kagera kabila mwangaza
3 dada colin kutoka singida
4 vailet kutoka dsm buza
5 monica kutka geita msukuma.kalikuwa katamu kweli

Lkn pia pisi kali nimewala ila kitapeli zaid
Ila kwa kwwli beki tatu wana msaada sana kwa majobless muwatumie aisee kwa vipindi vigumu

Leo tu mmoja kanusurika kuliwa kimasjara
 
Acha kujiita jobless wakati Rais Samia Suluhu ameleta fursa nyingi kwa vijana nenda kakope mikopo yenye mashart nafuu au nenda kapewe shamba ujiajiri kwenye kilimo
 
Acha kujiita jobless wakati Rais Samia Suluhu ameleta fursa nyingi kwa vijana nenda kakope mikopo yenye mashart nafuu au nenda kapewe shamba ujiajiri kwenye kilimo
Sawa bro
 
Tunarudi kule kule

1.usiwekeze kwa mtu isipokuwa wewe( Don’t Commit to anyone, be not a fool)

2.usimpende mtu isipokuwa wewe kwanza( Love yourself first before your neighbor, none should teach you this)

3. Be empathetically SELFISH.
Usimuhurumie mwanamke, Mdanganye, mtumie, kaa nae kinafiki, cheka nae kumbe mamamaaaa.
Akizingua- Next her

wanaoenda kinyume na hizi Kanuni acha wafe
 
Wazi afande[emoji1690]
 
Hehe.. inachoma hiyo..naendelea kusoma comments
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Ukweli wa chloroquine huu!!
 
[emoji419][emoji419][emoji419] uzi uwekewe lamination
 
Je akibahatika kumpenda mwanamke ambaye yuko na financial freedom na mwanamke huyo naye akamwelewa na kumpenda afanyeje ?

Je ajizuie kumpenda mpaka atakapokuja kupata hela ndipo apende huyo jobless?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…