Mwanaume usiye na kazi usipende!

Mwanaume usiye na kazi usipende!

Inawezekana kabisa kupendana bila masharti (unconditional love) ikiwemo kuwa na hela.

Hela unaweza kuwa nayo leo kesho ukawa huna.

Kazi unaweza kuwa nayo leo kesho ukawa huna.

Je hela inapokata mwanamke akukimbie?
 
Even in this world of ful fakes bado kuna unconditional loves relationship zinazoendelea.
 
Nilichogundua mpaka kijijini siku hizi wanawake wanawmbiana Angalia mfuko wa Mwanaume kabla hujamkubali.

Ndiyo maana wengine wanafanywa vibaya.
 
Mm beki tatu wamenisadia sana ktk kipindi kigumu mbususa zao walinipa bila madai yoyote na wengine hadi leo tunamawasiliamo mazuri

Nianze kuwashukuru mmoja mmoja hapa hapa
1 sakina omari kutoka singida
2 eliza k,kutoka kagera kabila mwangaza
3 dada colin kutoka singida
4 vailet kutoka dsm buza
5 monica kutka geita msukuma.kalikuwa katamu kweli

Lkn pia pisi kali nimewala ila kitapeli zaid
Ila kwa kwwli beki tatu wana msaada sana kwa majobless muwatumie aisee kwa vipindi vigumu

Leo tu mmoja kanusurika kuliwa kimasjara
Ha ha ha...wee jamaa bhana,
Yaan bint was Watu kaja kufanya kazi wee unaona ndo pakuponea[emoji44]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke mmoja aje PM anielekeze kupika tambi.[emoji26

Out there wakuu,

Jobless mwenzangu wakiume, mbususu chakata ila usipende. Jobless wa kiume sikiliza, mwanamke ukimtamani au kumpenda kula mbususu pita hivi, usijenge kibanda, usilete hisia bro, utanyonyoka vibaya sana, sana!

Naongea na wewe jobless wakiume. Anaweza kukupenda kweli kutoka moyoni lakini Kuna vitu huwezi kumtimizia, sasa wakati wanaume wenzako watakapokuja kukusaidia majukum ukija ukigundua utapata mshtuko wa moyo, UTAKUFA.

Sikiliza jobless wa kiume, technically hakuna mwanamke jobless ila wapo tu ambao hawana kazi maalum, ukimwona hajaajiriwa au hana mishe yeyote usijidinganye kuwa ni hadhi yako, utashangwazwa nakuhakishia, ATAKUSHANGAZA.

Jobless mbususu chakata ila usipende, chonde chonde jobless mwenzangu safari ni ndefu sana, muda mchache, ndoto ni kubwa sana, mizigo ni mingi mno, hizi pisi zitakukwamisha na kukurudusha nyuma, atasepa na hako kamtaji kako jobless tuwe makini.

Jobless mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanapungua, jobless stress za mapenzi zinaua, stress za mapenzi zinafelisha, stress za mapenzi zinaleta fikra hasi, stress za mapenzi zinaweza fanya ukajutia kuwa hai, jobless huna haki ya kupendwa tafuta hela.

Sikiliza jobless, anaweza akaelewa show yako kwa bed lakini maisha yako asipoyaelewa ndiyo basi tena humpati, kwahiyo ukimkabidhi moyo umejila jobless, nasema UMEJIlA jobless.

Chakufanya tujenge base halafu tuinue empire(huo mda endelea kuchakata ila usipende), mambo yakijipa ndio upende mtoto wa mtu mpaka achanganyikiwe.

Ila kwa hali yako ya sasa jobless, anaweza kukupenda ila hawezi kubaki mikononi mwako, huwezi kumlinda atatoweka tu siku moja, watamchukua vibopa, halafu utaumia sana kwa hisia ulizowekeza. Kwahiyo jobless kaa chonjo, jobless kaa mbali.

Kiufupi majobless hatuna haki ya kupendwa.

Na log out,
Dr Criminal.

Sent using Jamii Forums mobile app
Minishaacha kupenda kabisa natafuta tu wale wa chap 5k kila mmoja anaendelea na shughuli zake
 
Vijana hapa tunakumbushana tu. Kuwa na Mapenzi (pamoja na mpenzi) anahitaji pesa kama huwezi ni bora utafute Sabuni tu ili kuepukana na mizinga.

Huwez kudai una mpenzi Ila humpi hela ya matumizi Ila utamu unataka
 
Vijana tunakumbushana tu. Kuwa na Mapenzi (pamoja na mpenzi) anahitaji pesa kama huwez ni Bora utafute Sabuni tu ili kuepukana na mizinga. Huwez kudai una mpenzi Ila humpi hela ya matumizi Ila utamu unataka
Kwahiyo wewe unatumia sabuni?
Mwanaume kitu cha kuogopa ni kutokuwa na nguvu za kiume tu. Utamu tunasikia wote nimpe hela ya nini?
 
Vijana tunakumbushana tu. Kuwa na Mapenzi (pamoja na mpenzi) anahitaji pesa kama huwezi ni bora utafute Sabuni tu ili kuepukana na mizinga.

Huwez kudai una mpenzi Ila humpi hela ya matumizi Ila utamu unataka.
Unatumia sabuni gani?hata zenyewe bei zimetofautiana pia.

Vijana,tafuteni wapenzi,fanyeni mapenzi ,chakataneni
Ila msisahau kutafuta wa size ya wallet yako.
 
Jobless mwenzetu kapata sponsor
 

Attachments

  • FB_IMG_1671425687020.jpg
    FB_IMG_1671425687020.jpg
    46.3 KB · Views: 13
Mwanamke mmoja aje PM anielekeze kupika tambi.[emoji26

Out there wakuu,

Jobless mwenzangu wakiume, mbususu chakata ila usipende. Jobless wa kiume sikiliza, mwanamke ukimtamani au kumpenda kula mbususu pita hivi, usijenge kibanda, usilete hisia bro, utanyonyoka vibaya sana, sana!

Naongea na wewe jobless wakiume. Anaweza kukupenda kweli kutoka moyoni lakini Kuna vitu huwezi kumtimizia, sasa wakati wanaume wenzako watakapokuja kukusaidia majukum ukija ukigundua utapata mshtuko wa moyo, UTAKUFA.

Sikiliza jobless wa kiume, technically hakuna mwanamke jobless ila wapo tu ambao hawana kazi maalum, ukimwona hajaajiriwa au hana mishe yeyote usijidinganye kuwa ni hadhi yako, utashangwazwa nakuhakishia, ATAKUSHANGAZA.

Jobless mbususu chakata ila usipende, chonde chonde jobless mwenzangu safari ni ndefu sana, muda mchache, ndoto ni kubwa sana, mizigo ni mingi mno, hizi pisi zitakukwamisha na kukurudusha nyuma, atasepa na hako kamtaji kako jobless tuwe makini.

Jobless mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanapungua, jobless stress za mapenzi zinaua, stress za mapenzi zinafelisha, stress za mapenzi zinaleta fikra hasi, stress za mapenzi zinaweza fanya ukajutia kuwa hai, jobless huna haki ya kupendwa tafuta hela.

Sikiliza jobless, anaweza akaelewa show yako kwa bed lakini maisha yako asipoyaelewa ndiyo basi tena humpati, kwahiyo ukimkabidhi moyo umejila jobless, nasema UMEJIlA jobless.

Chakufanya tujenge base halafu tuinue empire(huo mda endelea kuchakata ila usipende), mambo yakijipa ndio upende mtoto wa mtu mpaka achanganyikiwe.

Ila kwa hali yako ya sasa jobless, anaweza kukupenda ila hawezi kubaki mikononi mwako, huwezi kumlinda atatoweka tu siku moja, watamchukua vibopa, halafu utaumia sana kwa hisia ulizowekeza. Kwahiyo jobless kaa chonjo, jobless kaa mbali.

Kiufupi majobless hatuna haki ya kupendwa.

Na log out,
Dr Criminal.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sabuni ni kitu cha kukosa kweli.
 
Ni kweli kabisa kuna sehemu mwanaume alikuwa hivi nilivumilia sababu nlikuwa nampenda sasa nae akaanza kujipaisha kiukweli nilivomwacha hakuamini
 
Back
Top Bottom