Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,282
- 4,316
- Thread starter
-
- #81
Moderators wafanye kweli[emoji23]Kuna haja tukaiweka hii thread kwny mfumo wa audio iwe ni lazma kuisikiliza kila mtu akitaka kulog in JF, hii ni kumbusho la muda wote asee.
Tafadhali mods[emoji120][emoji23]
Na ikiwa demu sio pisi kali usitegemee kupata wenye pesaTafuteni pesa tu majobless hata kuchakata msichakate
Facts[emoji1666]Na kweli build your own Empire kwanza kabla hujaingia mazima.
Tuliokua tunapenda bila kazi wala hela then mnabuild ur empire pamoja.
Kizazi chetu ndiyo kimeshaishia...kwa sasa love is business.
[emoji23][emoji23][emoji1787]All in all alosema mtoa mada ni ukweli mtupu yani kama mimi mbususu napewaga mwsho wa mwezi nikishapata visent vyangu kama MP tu maaee
Pesa yafaa nn una mwanamke hata kutoka nae unaona aibu, Ni kuishi kwa kujitesa TU bila sababu.Huo ndo ukweli wanaume tukiwa na pesa ni mwendo wa kung'oa pisi kali
Mtuhurumie jamani[emoji26]Jobless unapata wapi hisia za kuchakata
Hii nchi uhuru umepitiliza sasa
Daah[emoji23][emoji23][emoji119]Huu uzi utakuwa na wachangiaji wengi majobless
Swadaptaa!.Na maisha Mazur mojawapo Ni kukojolea pazuri[emoji4]
Ndo tulipofkia mkuu[emoji1666]No money no love when i'm getting money i'm gonna buy love.
Umetema madin Sana mkuuMwanamke mmoja aje PM anielekeze kupika tambi.[emoji26
Out there wakuu,
Jobless mwenzangu wakiume, mbususu chakata ila usipende. Jobless wa kiume sikiliza, mwanamke ukimtamani au kumpenda kula mbususu pita hivi, usijenge kibanda, usilete hisia bro, utanyonyoka vibaya sana, sana!
Naongea na wewe jobless wakiume. Anaweza kukupenda kweli kutoka moyoni lakini Kuna vitu huwezi kumtimizia, sasa wakati wanaume wenzako watakapokuja kukusaidia majukum ukija ukigundua utapata mshtuko wa moyo, UTAKUFA.
Sikiliza jobless wa kiume, technically hakuna mwanamke jobless ila wapo tu ambao hawana kazi maalum, ukimwona hajaajiriwa au hana mishe yeyote usijidinganye kuwa ni hadhi yako, utashangwazwa nakuhakishia, ATAKUSHANGAZA.
Jobless mbususu chakata ila usipende, chonde chonde jobless mwenzangu safari ni ndefu sana, muda mchache, ndoto ni kubwa sana, mizigo ni mingi mno, hizi pisi zitakukwamisha na kukurudusha nyuma, atasepa na hako kamtaji kako jobless tuwe makini.
Jobless mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanapungua, jobless stress za mapenzi zinaua, stress za mapenzi zinafelisha, stress za mapenzi zinaleta fikra hasi, stress za mapenzi zinaweza fanya ukajutia kuwa hai, jobless huna haki ya kupendwa tafuta hela.
Sikiliza jobless, anaweza akaelewa show yako kwa bed lakini maisha yako asipoyaelewa ndiyo basi tena humpati, kwahiyo ukimkabidhi moyo umejila jobless, nasema UMEJIlA jobless.
Chakufanya tujenge base halafu tuinue empire(huo mda endelea kuchakata ila usipende), mambo yakijipa ndio upende mtoto wa mtu mpaka achanganyikiwe.
Ila kwa hali yako ya sasa jobless, anaweza kukupenda ila hawezi kubaki mikononi mwako, huwezi kumlinda atatoweka tu siku moja, watamchukua vibopa, halafu utaumia sana kwa hisia ulizowekeza. Kwahiyo jobless kaa chonjo, jobless kaa mbali.
Kiufupi majobless hatuna haki ya kupendwa.
Na log out,
Dr Criminal.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo jobless tunawajumlisha hadi wenye mishaara goi goi,,mtu Kwa mwezi unaingiza 50k we ni jobless tuMaswali kwa wadada na mtoa mada:
KWA MTOA MADA:
1)Vipi kama mwanaume umeajiriwa ila unalipwa 150k kwa mwezi hlf uko dar, au hata mkoani, una tofauti gani sana na jobless? Mifano hai ninayo, nina washkaj wameajiriwa ila hawawezi hata kuoa, sababu mshahara wao ni mdogo mno.
KWA WADADA:
2) Wadada mnataka wanaume wenye uchumi stable/wenye pesa za kutosha, ukifanya sensa ya kipato hapa Tanzania, ni asilimia ngapi ya vijana wa kiume walio kwenye umri wa kuoa (miaka 18-35) wanaopata walau tshs. Million 1 kwa mwezi? Na chances za wewe mdada kutongozwa na mkaka mwenye kipato cha hivo ni asilimia ngapi? Kelsea Dream Queen Demi Kalpana Dr criminal
Tafuteni hela kwanza, achaneni na mapenziMtuhurumie jamani[emoji26]
Nimefika Beshti.
Asante kwa shahiri zuriMwanamke mmoja aje PM anielekeze kupika tambi.[emoji26
Out there wakuu,
Jobless mwenzangu wakiume, mbususu chakata ila usipende. Jobless wa kiume sikiliza, mwanamke ukimtamani au kumpenda kula mbususu pita hivi, usijenge kibanda, usilete hisia bro, utanyonyoka vibaya sana, sana!
Naongea na wewe jobless wakiume. Anaweza kukupenda kweli kutoka moyoni lakini Kuna vitu huwezi kumtimizia, sasa wakati wanaume wenzako watakapokuja kukusaidia majukum ukija ukigundua utapata mshtuko wa moyo, UTAKUFA.
Sikiliza jobless wa kiume, technically hakuna mwanamke jobless ila wapo tu ambao hawana kazi maalum, ukimwona hajaajiriwa au hana mishe yeyote usijidinganye kuwa ni hadhi yako, utashangwazwa nakuhakishia, ATAKUSHANGAZA.
Jobless mbususu chakata ila usipende, chonde chonde jobless mwenzangu safari ni ndefu sana, muda mchache, ndoto ni kubwa sana, mizigo ni mingi mno, hizi pisi zitakukwamisha na kukurudusha nyuma, atasepa na hako kamtaji kako jobless tuwe makini.
Jobless mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanapungua, jobless stress za mapenzi zinaua, stress za mapenzi zinafelisha, stress za mapenzi zinaleta fikra hasi, stress za mapenzi zinaweza fanya ukajutia kuwa hai, jobless huna haki ya kupendwa tafuta hela.
Sikiliza jobless, anaweza akaelewa show yako kwa bed lakini maisha yako asipoyaelewa ndiyo basi tena humpati, kwahiyo ukimkabidhi moyo umejila jobless, nasema UMEJIlA jobless.
Chakufanya tujenge base halafu tuinue empire(huo mda endelea kuchakata ila usipende), mambo yakijipa ndio upende mtoto wa mtu mpaka achanganyikiwe.
Ila kwa hali yako ya sasa jobless, anaweza kukupenda ila hawezi kubaki mikononi mwako, huwezi kumlinda atatoweka tu siku moja, watamchukua vibopa, halafu utaumia sana kwa hisia ulizowekeza. Kwahiyo jobless kaa chonjo, jobless kaa mbali.
Kiufupi majobless hatuna haki ya kupendwa.
Na log out,
Dr Criminal.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wengi hawatoagi support kwa wanaume, simaanishi support ya kipesa, i mean kumpikia mwanaume, kumfulia, kumdekia ghetto, kumfariji etc.. hawataki kufanya ayo wakidai hawajaolewa hivo sio majukumu yao, ila wanataka dushe na kupewa hela, na huyo huyo mwanaume anaepata 150k kwa mwezi KalpanaWawakubali tuu hato hao wa 150k maisha hayatabiriki...ukianza na mtu from scratch mtapanda nae mtafika huko kwny 1milion to millions..
Nakazia apaNadhan mtoa uzi kamaliza yote, mbususu lazima zichakatwe ila kwa machale sana kulinda uchumi na maendeleo ya mmoja mmoja
Nakazia apaaa unakuta mwamba pesa ipo mfuko wa shati na hatoi[emoji3][emoji3]Kutongozwa utatongozwa na wa aina mbali mbali, wenye nazo na wasio kuwa nao.
Pia anaweza akawa nazo na asiwe mtoaji. Ni kubahatosha tu