Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,282
- 4,316
- Thread starter
-
- #141
Hela gani tena hyo ya kuitoa jaman[emoji23][emoji23]Yani hahaaa maisha yamebadilika sana siku hizi uvivu umekua mwingi muda wote mtu yuko gheton kwako huku yupo snapchat Anarusha picha ya pazia lako au msabufa wako huo mud wa kupika autoe wapi??
Ila hapa pia nyie mmechangia siku hizi hamtoi hela kama zamani halafu mnamademu zaidi ya mmoja so mdada anamua kutojitoa fully.
This is deep chief[emoji848][emoji1666]Sahii kabisa,
Binafsi uko kwny kununua nishatoka,
Ntahudumia mbusus permanent Ila kwa bajeti
Mbususu itatumia kile Cha ziada tu na sio Cha muhimu au nnachokitegemea 100%
Wanaoniumiza kichwa ni wanangu na familia yangu, hao wengine acha tigawane vya ziada tu
Naam mkuuVijana wanajisahaulisha Sana Hilo mkuu
Hata wale wanaowaona Wana wake wa kawaida, pemben Wana pisi Kali za kukojolea kojo zuri wakishatoka wkwenye mihangaiko yao.
Jitahidi wanawake wanataka helaa,Hela gani tena hyo ya kuitoa jaman[emoji23][emoji23]
Iko hivo mkuu[emoji1666]Mtoa mada umeongea ukweli tena umetusemea vijana wengi sana kwa dunia ya sasa bila hela kwenye mapenzi hutoboi
Ntaishi humo[emoji1666]Jitahidi wanawake wanataka helaa,
Jobless wauwawe wanachanganya sana mademu..mana shoo za jobless ni fire kama watakufa leo..wanakamia mbususu vibaya sana hadi mademu wanakosa direction anabaki katikati mana jobless shoo yuko vizuri ila hela hana.Jobless unapata wapi hisia za kuchakata
Hii nchi uhuru umepitiliza sasa
Kwa Me ambaye uchumi umeimarika ni sawa, ila kama bado kiuchumi sishauri kuwekeza kwa namna hiyo. Mkuu piga hesabu za outing na mchepuko wako, hamna hamna 50k, yani hapo umejibana, tena sijaweka budget ya mafuta ya kiswaswadu.Hata Michepuko nayo iko kwny nipe nikupe, no investment.
Ujue kula mbususu daily kwa condom kwa Hawa wa kuijiuza Ni changamoto Sana.
Sasa kama pesa IPO kwann usiichukulie mchepuko wake wa kudum Safi kabisa ulipie huduma ya nyamanyama.
Pesa ikikata unalala mbele[emoji4]
Hela ya kununua watolee wapi?jobless wao ni sabuni.Jobless kama unanjaa nenda kanunue usiangaike kutongoza utajutia
Mkuu umemaliza,tuzike hapa au tusafirishe??Mwanamke mmoja aje PM anielekeze kupika tambi.[emoji26
Out there wakuu,
Jobless mwenzangu wakiume, mbususu chakata ila usipende. Jobless wa kiume sikiliza, mwanamke ukimtamani au kumpenda kula mbususu pita hivi, usijenge kibanda, usilete hisia bro, utanyonyoka vibaya sana, sana!
Naongea na wewe jobless wakiume. Anaweza kukupenda kweli kutoka moyoni lakini Kuna vitu huwezi kumtimizia, sasa wakati wanaume wenzako watakapokuja kukusaidia majukum ukija ukigundua utapata mshtuko wa moyo, UTAKUFA.
Sikiliza jobless wa kiume, technically hakuna mwanamke jobless ila wapo tu ambao hawana kazi maalum, ukimwona hajaajiriwa au hana mishe yeyote usijidinganye kuwa ni hadhi yako, utashangwazwa nakuhakishia, ATAKUSHANGAZA.
Jobless mbususu chakata ila usipende, chonde chonde jobless mwenzangu safari ni ndefu sana, muda mchache, ndoto ni kubwa sana, mizigo ni mingi mno, hizi pisi zitakukwamisha na kukurudusha nyuma, atasepa na hako kamtaji kako jobless tuwe makini.
Jobless mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanapungua, jobless stress za mapenzi zinaua, stress za mapenzi zinafelisha, stress za mapenzi zinaleta fikra hasi, stress za mapenzi zinaweza fanya ukajutia kuwa hai, jobless huna haki ya kupendwa tafuta hela.
Sikiliza jobless, anaweza akaelewa show yako kwa bed lakini maisha yako asipoyaelewa ndiyo basi tena humpati, kwahiyo ukimkabidhi moyo umejila jobless, nasema UMEJIlA jobless.
Chakufanya tujenge base halafu tuinue empire(huo mda endelea kuchakata ila usipende), mambo yakijipa ndio upende mtoto wa mtu mpaka achanganyikiwe.
Ila kwa hali yako ya sasa jobless, anaweza kukupenda ila hawezi kubaki mikononi mwako, huwezi kumlinda atatoweka tu siku moja, watamchukua vibopa, halafu utaumia sana kwa hisia ulizowekeza. Kwahiyo jobless kaa chonjo, jobless kaa mbali.
Kiufupi majobless hatuna haki ya kupendwa.
Na log out,
Dr Criminal.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninachotaka kusema ni kuwa mwanaume unaweza ukawa na hela nyingi, tena ukawa husband material mwenye tabia njema, ila kama mwanamke hajavutiwa na wewe kimapenzi, hilo pia linaweza kuwa tatizo kubwa sana, kama huyo mwanamke hatokua mvumilivu mahusiano hayatodumu Demi
🤣🤣🤣🤣Alafu mwanaume unakosaje kazi ya kufanya?
Ukiona huwez pata kazi basi hata mwanamke ukimpata kakuhurumia tu.
Mm nikishajua dem ana mshkaji asie na kazi nampa mambo mawili maisha safi na pesa lazima mjinga wake atoe chozi
Babe watafute tu pesa wakipata ndio watafute pisi wanazozipenda
Nimecheka sanaIli ujue yupi ni jobulesi
Pesa na Upendo havitengemani siyo?[emoji28]Babe watafute tu pesa wakipata ndio watafute pisi wanazozipenda
Auntie huo ndio ukweli bwanah utavumilia weeh mwisho wa siku utachoka tusifichanePesa na Upendo havitengemani siyo?[emoji28]
Ni kweli Auntie...Auntie huo ndio ukweli bwanah utavumilia weeh mwisho wa siku utachoka tusifichane
Hahhaha kazi ipooBabe watafute tu pesa wakipata ndio watafute pisi wanazozipenda