Mwanaume usiye na kazi usipende!

Hela gani tena hyo ya kuitoa jaman[emoji23][emoji23]
 
This is deep chief[emoji848][emoji1666]
 
Vijana wanajisahaulisha Sana Hilo mkuu
Hata wale wanaowaona Wana wake wa kawaida, pemben Wana pisi Kali za kukojolea kojo zuri wakishatoka wkwenye mihangaiko yao.
Naam mkuu

Mwanaume atavuta jiko mwanamke anajitambua ila ana sura ya kawaida afu anaanza kukimbizana na pisi Kali[emoji23],,wanaume wote duniani tunapenda wanawake wazur
 
Jobless unapata wapi hisia za kuchakata

Hii nchi uhuru umepitiliza sasa
Jobless wauwawe wanachanganya sana mademu..mana shoo za jobless ni fire kama watakufa leo..wanakamia mbususu vibaya sana hadi mademu wanakosa direction anabaki katikati mana jobless shoo yuko vizuri ila hela hana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwa Me ambaye uchumi umeimarika ni sawa, ila kama bado kiuchumi sishauri kuwekeza kwa namna hiyo. Mkuu piga hesabu za outing na mchepuko wako, hamna hamna 50k, yani hapo umejibana, tena sijaweka budget ya mafuta ya kiswaswadu.

Sasa kwa kijana anayejitafuta awekeze nguvu kwa Ke atajenga kweli, atawekeza kweli?

Ke kwa asilimia kubwa hawapotezi, wanagain, coz ni ngumu sana kwa Me anayejielewa kumuomba mchepuko hela, hata kama yuko vibaya kiasi gani ila hawa wenzetu anaweza kukuomba 100k kumbe ndania ana 500k.
 
Mkuu umemaliza,tuzike hapa au tusafirishe??
 

Avumilie nini wakati havutiwi na wewe, au baada ya muda utabadilika na Kuwa na mvuto
 
Tatizo moja kubwa la umasikini ni kuangalia kila kitu kwa miwani ya pesa.

Tatizo moja kubwa la utajiri ni kuangalia kila kitu bila kujali pesa.

Epuka matatizo haya mawili uweze kupima mambo kwa uhalisi wake.
 
Alafu mwanaume unakosaje kazi ya kufanya?
Ukiona huwez pata kazi basi hata mwanamke ukimpata kakuhurumia tu.

Mm nikishajua dem ana mshkaji asie na kazi nampa mambo mawili maisha safi na pesa lazima mjinga wake atoe chozi
🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…