Mwanaume utathaminiwa kwa ulichonacho

Mwanaume utathaminiwa kwa ulichonacho

Sio mapenzi tuu hata kwenye maisha ya kawaida, Ndugu wenye uwezo ndio wanaonekana ndugu zaid ya wenye uwezo wa chini.

Mtu yoyote huonekana ndio mtu kweli kam anacho kipato.

All in all tuzisake tuu, hamna pa kukwepea
 

Attachments

  • IMG_20241126_141106.jpg
    IMG_20241126_141106.jpg
    344.5 KB · Views: 2
ndio hivyo kaka
duniani ni mwanamke na mbwa na nyau wanaweza kupendwa unconditional, mwanaume unapendwa with conditions
you must give something and u must have something, mwanaume tajiri anaweza kumtoa binti kwa mtogole, mwanamke tajiri hawezi hata kukuangalia wewe ukiwa kwa mtogole
Tafuta pesa King

Muondoe nyau
 
Watu watabisha na hii mimi nilkua nakula demu wa dereva w matransit bure🤣jamaa anaacha laki mbili Kila wiki mi naenda kujisevia mke ni mama wa nyumbani
ACha watangulize hela hawajui thamani yao. Sisi tujipigie ila mzee ulikuwa unachezea Moto wa Petrol.....Madereva wa Transut Ukimwi nje nje
 
Sio mapenzi tuu hata kwenye maisha ya kawaida, Ndugu wenye uwezo ndio wanaonekana ndugu zaid ya wenye uwezo wa chini.

Mtu yoyote huonekana ndio mtu kweli kam anacho kipato.

All in all tuzisake tuu, hamna pa kukwepea
Kweli kabisa mkuu.hasa kwa mwanaume heshima anapewa kutokana na kipato chake.
 
Back
Top Bottom