min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
😂😂😂Ipo wazi kama ya mbuzi, ndio uhalisia kwa tulipofikia kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Ipo wazi kama ya mbuzi, ndio uhalisia kwa tulipofikia kwa sasa.
Sio mapenzi tuu hata kwenye maisha ya kawaida, Ndugu wenye uwezo ndio wanaonekana ndugu zaid ya wenye uwezo wa chini.
Mtu yoyote huonekana ndio mtu kweli kam anacho kipato.
All in all tuzisake tuu, hamna pa kukwepea
Lazima approve kwanza kama unazo au unaelekea kua nazo, Hapo sasa ndio hakuombi ili ajenge Trust.Demu akiwa anakukubali hahitaji pesa hovyo hovyo
Wazungu wasema kama uki chesi mademu maokota yatakukimbia but kama uki chesi maokoto mademu watakutafuta mpaka utawakimbia...Wakuu
Wala sina maelezo mengi, kichwa chajieleza. Jiweke mbali na mapenzi
Hujawahi ona mtu anahonga sana halafu kuna kajamaa kanajipigia tu bila kutoa chochote?Lazima approve kwanza kama unazo au unaelekea kua nazo, Hapo sasa ndio hakuombi ili ajenge Trust.
Tafuta hela mkuu, hao madem wanajikanyaga wenyewe, amini !!
ndio hivyo kaka
duniani ni mwanamke na mbwa na nyau wanaweza kupendwa unconditional, mwanaume unapendwa with conditions
you must give something and u must have something, mwanaume tajiri anaweza kumtoa binti kwa mtogole, mwanamke tajiri hawezi hata kukuangalia wewe ukiwa kwa mtogole
Tafuta pesa King
Mtaendelea kupigwa ikiwa Nyie wenyewe hamna thamani kama binadamu bali Thamani yenu i alinganishwa na pesa.Wakuu
Wala sina maelezo mengi, kichwa chajieleza. Jiweke mbali na mapenzi
Nilishawahi kupiga mishangazi miwili zer cost kwa muda mwa miaka mitatu.Hujawahi ona mtu anahonga sana halafu kuna kajamaa kanajipigia tu bila kutoa chochote?
Ndo hivo wale wengine anakuwa nao kwa ajili ya kumtimizia mahitajiNilishawahi kupiga mishangazi miwili zer cost kwa muda mwa miaka mitatu.
Njemba zao zinagangaika kulipa kila kitu mimi natusua bure.
Wapi huko papuchi unà pata bure? Hata mkeo usipoacha mezani pesa jioni ukirudi hupewi kwa hiyari labda ubake kwa vile yumo ndani.Mapenzi sio pesa mkuu
Watu watabisha na hii mimi nilkua nakula demu wa dereva wa matransit bure🤣jamaa anaacha laki mbili Kila wiki mi naenda kujisevia mke ni mama wa nyumbaniNilishawahi kupiga mishangazi miwili zer cost kwa muda mwa miaka mitatu.
Njemba zao zinagangaika kulipa kila kitu mimi natusua bure.
ACha watangulize hela hawajui thamani yao. Sisi tujipigie ila mzee ulikuwa unachezea Moto wa Petrol.....Madereva wa Transut Ukimwi nje njeWatu watabisha na hii mimi nilkua nakula demu wa dereva w matransit bure🤣jamaa anaacha laki mbili Kila wiki mi naenda kujisevia mke ni mama wa nyumbani
Duuh huyo sio Mke ni malaya tu kama wenginrWapi huko papuchi unà pata bure? Hata mkeo usipoacha mezani pesa jioni ukirudi hupewi kwa hiyari labda ubake kwa vile yumo ndani.
Kweli kabisa mkuu.hasa kwa mwanaume heshima anapewa kutokana na kipato chake.Sio mapenzi tuu hata kwenye maisha ya kawaida, Ndugu wenye uwezo ndio wanaonekana ndugu zaid ya wenye uwezo wa chini.
Mtu yoyote huonekana ndio mtu kweli kam anacho kipato.
All in all tuzisake tuu, hamna pa kukwepea
Nikimuona mtu kujisifia kula wake za watu mashangazi huwa nashangaa tu wengi wao huw ni +ACha watangulize hela hawajui thamani yao. Sisi tujipigie ila mzee ulikuwa unachezea Moto wa Petrol.....Madereva wa Transut Ukimwi nje nje
Ni ujinga mwanaume kujisifu kula mke wa mtuNikimuona mtu kujisifia kula wake za watu mashangazi huwa nashangaa tu wengi wao huw ni +
Ni kweli wengi wako kwenye high riskNikimuona mtu kujisifia kula wake za watu mashangazi huwa nashangaa tu wengi wao huw ni +
Hahaha...sio mke wa mtu bali demu wa mtu. Huyo Boda boda mwenyewe unakuta anahudumia na kula kimtindo sasa huyo ni mke wa mtu?Ni ujinga mwanaume kujisifu kula mke wa mtu