Sasa raha ya hela ni kuweza kugegeda warembo wazuri...wee unasema tukae mbali na mapenzi mbona kama hatuna sababu tena ya kusaka ndalamaWakuu
Wala sina maelezo mengi, kichwa chajieleza. Jiweke mbali na mapenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa raha ya hela ni kuweza kugegeda warembo wazuri...wee unasema tukae mbali na mapenzi mbona kama hatuna sababu tena ya kusaka ndalamaWakuu
Wala sina maelezo mengi, kichwa chajieleza. Jiweke mbali na mapenzi
Kabisa yanKweli kabisa mkuu.hasa kwa mwanaume heshima anapewa kutokana na kipato chake.
Unatafuta hela ule mbususu?Sasa raha ya hela ni kuweza kugegeda warembo wazuri...wee unasema tukae mbali na mapenzi mbona kama hatuna sababu tena ya kusaka ndalama
Ukwasi au Sound mchichaWakuu
Wala sina maelezo mengi, kichwa chajieleza. Jiweke mbali na mapenzi
Yes indeed!Unatafuta hela ule mbususu?
USIMPE ELA MWANAMKE TREAT THEM HARD WAYSisi tunaohonga elfu tatu au baby naomba vocha,je tupo ktk hatari ya kufilisika? Au mada inawahusu wanaohonga Kuanzia Laki?
Au nasema uongo mkuu?
Upo sahihiSio mapenzi tuu hata kwenye maisha ya kawaida, Ndugu wenye uwezo ndio wanaonekana ndugu zaid ya wenye uwezo wa chini.
Mtu yoyote huonekana ndio mtu kweli kam anacho kipato.
All in all tuzisake tuu, hamna pa kukwepea
Je ni kwa nini mke wa tajiri huwa anachukua hela za mumewe na kwenda kumuhonga mwanaume mwingine ambaye ni maskini,unadhani ni kitu gani husababisha hii?ndio hivyo kaka
duniani ni mwanamke na mbwa na nyau wanaweza kupendwa unconditional, mwanaume unapendwa with conditions
you must give something and u must have something, mwanaume tajiri anaweza kumtoa binti kwa mtogole, mwanamke tajiri hawezi hata kukuangalia wewe ukiwa kwa mtogole
Tafuta pesa King
mmh. Hapo me ninavoona ni kwa sababu kuna utofauti mkubwa kati ya mapenzi na pesa. Unajua mara nyingi huwa inatokea watu wengi wenye pesa nyingi hukosa mapenzi au tuseme hawapendelei kujishughulisha na mapenzi hasa haya ya kawaida nje ya ngono, sijui vimau, vijizawadi vidogo vidogo, wengine hata swala la ngono kwao sio inshu sana, maana anaweza kupata muda wowote na kwa mtu yeyote,Je ni kwa nini mke wa tajiri huwa anachukua hela za mumewe na kwenda kumuhonga mwanaume mwingine ambaye ni maskini,unadhani ni kitu gani husababisha hii?