Ile species sijui ya wapi anataka abembelezwe utafkiri ye ndo anatongozwa, dharau, uongo uongo sasa (akikuambia kitu amini at your own risk), ujuaji ndo kwake, kulipizia makosa sasa, hajambo unaweza ukakaa tu ukatumiwa text ulowah kumsema anakumbushia na hapo yalishaisha.🤣🤣🤣Walikufanya nn
Yaan kunavitu vipo hapa umeandika ukweli 98%Ile species sijui ya wapi anataka abembelezwe utafkiri ye ndo anatongozwa, dharau, uongo uongo sasa (akikuambia kitu amini at your own risk), ujuaji ndo kwake, kulipizia makosa sasa, hajambo unaweza ukakaa tu ukatumiwa text ulowah kumsema anakumbushia na hapo yalishaisha.
Yeye anaamini yuko perfect hana kasoro ila wenzie ndo wana kasoro daily, kubwa kuliko ni single father sasa kila dakika my son this my son that unasema Sawa unampenda mwanao nipe basi na mimi hata nafasi utajibiwa priority priority priority, nikaona cha kufia nini.
Bora ungekua mnyia tu🤣🤣🤣Niachee🤸🤸
Jf haina ukabila 🥰 mi mmarekaniNiambie we ni kabisa gani Ili nije nijilipue kwenu😜🥰🥰
Woooi!! Kuitumia anajua au ipo tu unahangaika nayo mwenyewe!!🤣🤣🤣Ile ndefu cute😋
Wasimpake tu pullstick.Bora afe yeye, ila ng'ombe aishi[emoji1787]
Kwamba tumeshampoteza mwenzetu.Ashakuroga famasihala nini 😅
Ukimpata msambaa uje uwasifie pia😂😂😂😋😋😋Yupo good sijui alisomea 😘🤗
😄 naona mnazidi kuongezeka nitaanza kuuza dawa maana sio hali ya kawaidaKwamba tumeshampoteza mwenzetu.
Ila kuna kaukweli fulani.wako vyema hawa jamaa😋😋
Tuendeleeni kunywa maji Kwa wingi jamani