Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisifuye mvua, juwa imemnyea.Kubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.
Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Hapa nakuunga mkono kwa 100% na zaidi. Nimeshawahi kuwa na msukuma jamani wanapenda sana mpaka unapendwa tena. Kwenye kutoa hela sasa ni bora yeye abaki hana hata 100 akupe wewe. Sema umbali ulipeperusha mahusiano yetu ila mpaka leo ananitafuta sana kunijulia hali na hata kusaidiana mawili matatu.
Katika wanaume Tanzania hii jamani Wasukuma wapewe sifa yao.
Wazuri haoUgonjwa wa wanaume wa kisukuma[emoji4]View attachment 2519605
Kwa nnavyofahamu alikuwa n ngoshaAlikuwa Msukuma kumbe!
Wamekupa nini hadi uwasifie hivi?Oyoooo💕💕💕
Hilo walijua weweMama ake alikuwa msukuma baba mhu...
🤣🤣🤣🤐Usiombe mwanaume wa kisukuma awe na kitambi, afu Hana Ela[emoji1787]View attachment 2519618
Ila wanyakusa bhana 😂🤣🤣🤣Ile ndefu cute😋