NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Wanakuja na ng'ombe wao tena wametoka mnadani.🤣🤣🤣🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakuja na ng'ombe wao tena wametoka mnadani.🤣🤣🤣🤗
Mh.Thread bora kabisa. God bless you.
Umeblessiwa huko na mlokole msukuma.Vizuri
Hunaga roho mbaya.Nimepokea Kwa mikono miwili mkuu
🤭Wanaume wa kisukuma wanachojali Ni kuvaa TU, ili mradi waanusitiri mwili TU[emoji38]View attachment 2519550
No, ndio walivyo.... wanao wasifia jua wanakubaliana na hilo suala la kuchukuliwa hivyo as long as anapewa kila kitu.Ewaaa anakuona kama uliletwa duniani kumfanyia maisha yake kuwa marahisi ila si binadamu ni mashine flani hivi kiukweli wanaosifia wanaume wa misukuma huwa wananifanye niwaze au mi ninaokutana nao huwa wananidanganya kabila
Anablowig kumbe.Wanaume wa kisukuma wanachojali Ni kuvaa TU, ili mradi waanusitiri mwili TU[emoji38]View attachment 2519550
😀😀🤔🤔🤔Kuna mahala yupo kajikeep busy,tutamwona baadae
Wasukuma Hilo hawajali[emoji1787]Anablowig kumbe.
🤣🤣🤣Camera man umemwona?....Deeppond naomba nikucallWanaume wa kisukuma
Wanapenda Sana show offs[emoji38]View attachment 2519591
Ha ha ha nasikia wanapenda ng'ombe mpaka wanawavika sarawili.Wasukuma Hilo hawajali[emoji1787]