Mwanaume wa kisukuma ni bora zaidi…

Mwanaume wa kisukuma ni bora zaidi…

Wanaume wa kisukuma Wanapenda sana mapapai[emoji38]
IMG_20211206_102553.jpg
IMG_20211213_140431.jpg
 
Kubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.

Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
To yeye umetuheshimisha wasukuma aisee hadi nimeku [emoji3589]
 
Kubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.

Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume

Umetuheshimisha sana,hii post naifanyia lamination,
 
Kubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.

Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Hapa nakuunga mkono kwa 100% na zaidi. Nimeshawahi kuwa na msukuma jamani wanapenda sana mpaka unapendwa tena. Kwenye kutoa hela sasa ni bora yeye abaki hana hata 100 akupe wewe. Sema umbali ulipeperusha mahusiano yetu ila mpaka leo ananitafuta sana kunijulia hali na hata kusaidiana mawili matatu.
Katika wanaume Tanzania hii jamani Wasukuma wapewe sifa yao.
 
Hapa nakuunga mkono kwa 100% na zaidi. Nimeshawahi kuwa na msukuma jamani wanapenda sana mpaka unapendwa tena. Kwenye kutoa hela sasa ni bora yeye abaki hana hata 100 akupe wewe. Sema umbali ulipeperusha mahusiano yetu ila mpaka leo ananitafuta sana kunijulia hali na hata kusaidiana mawili matatu.
Katika wanaume Tanzania hii jamani Wasukuma wapewe sifa yao.
😘😘😘😘 Hakika wabarikiwe mno🙏
 
Back
Top Bottom