Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo vp mcute
To yeye umetuheshimisha wasukuma aisee hadi nimeku [emoji3589]Kubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.
Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Huyo achana naye,alishakwenda na yake.Mbona mkorofi ivo🙄🤣🤣🤐Wanaume wa kisukuma Wanapenda sana mapapai[emoji38]View attachment 2519525View attachment 2519528
Kubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.
Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Huyu jamaa pichani sijaelewa anazungumza nn🤣, ila namuunga mkono Hundred%🤣🤣Wanaume wa kisukuma ni too much know[emoji3]View attachment 2519519
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aiseee🙌Wanaume wa kisukuma Wana gubu mno[emoji3]View attachment 2519530
Hii picha mweee🤣🤣🤣🤣🤣Wanaume wa kisukuma Wana gubu mno[emoji3]View attachment 2519530
Hapa nakuunga mkono kwa 100% na zaidi. Nimeshawahi kuwa na msukuma jamani wanapenda sana mpaka unapendwa tena. Kwenye kutoa hela sasa ni bora yeye abaki hana hata 100 akupe wewe. Sema umbali ulipeperusha mahusiano yetu ila mpaka leo ananitafuta sana kunijulia hali na hata kusaidiana mawili matatu.Kubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.
Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
😘😘😘😘 Hakika wabarikiwe mno🙏Hapa nakuunga mkono kwa 100% na zaidi. Nimeshawahi kuwa na msukuma jamani wanapenda sana mpaka unapendwa tena. Kwenye kutoa hela sasa ni bora yeye abaki hana hata 100 akupe wewe. Sema umbali ulipeperusha mahusiano yetu ila mpaka leo ananitafuta sana kunijulia hali na hata kusaidiana mawili matatu.
Katika wanaume Tanzania hii jamani Wasukuma wapewe sifa yao.