Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Unaona ulivyo sasaYule mi nakataa,haikuwa damu ya Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaona ulivyo sasaYule mi nakataa,haikuwa damu ya Tanzania
Wakati wasukuma wakiacha wanawake wao wanyenyekevu na wenye heshima na kukimbilia weupe na majike shupa huko njee , werevu tunawachukua na tunaishi kama wafalme .Kubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.
Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Mhu ndio nnNasikia alikuwa mhu....
Somehow nakubaliTatizo washirikina Sana[emoji4]View attachment 2519502
lakini si unasikia sio kweliMhutu 🤭
🤣🤣🤣🤣🤣Ila we jamaa mkorofiTatizo wanavimba mno[emoji4]View attachment 2519503
ubishi pia🤣🤣🤣Ubabe mwingi
Bora leo mmetusema kwa mema...Kubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na usimsaliti Kwa viserengeti vitaka kulelewa....na ukimpata hana pesa mvumilie coz are fighters na mtunzane.
Wanawake wenzangu tuendelee kumwomba Mungu tuingie Pepo tukiwa tumeshikana mikono na waume zetu.
NB;Sijamaanisha nimepata msukuma.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume