Mwanaume wa kuzaa nae!

Njoo uzae na mahandsome upate mtt mzuri..niambie unataka wa kike au wakiume..by the way ntakupa hitaji lako maana nimesomea udaktari najua jinsia ya mtt inatatwaje pia..njoo dm tuyajenge zaidi..
 
Eti ukinipa mimba tusijuane halafu mtoto niwakwangu mama yako alikuzaa akakuonyesha baba yako jipange mama dam zawatu ngumu utakuja kurudi hum kumtafuta baba yake samahani lakini
 
Khaa!!kha!,Kwa hiyo sisi wanaume wafupi tukomment wapi??.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…