Mwanaume wa kuzaa nae!

Mwanaume wa kuzaa nae!

Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.

Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.

Naweza kumlipa ili asinifuate tena.

Sifa zake

Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.

Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.

Anayejiona anasifa karibu pm.
Njoo uzae na mahandsome upate mtt mzuri..niambie unataka wa kike au wakiume..by the way ntakupa hitaji lako maana nimesomea udaktari najua jinsia ya mtt inatatwaje pia..njoo dm tuyajenge zaidi..
 
2743cd34bdb3c63911056fcbada1c8d4.jpg
 
Eti ukinipa mimba tusijuane halafu mtoto niwakwangu mama yako alikuzaa akakuonyesha baba yako jipange mama dam zawatu ngumu utakuja kurudi hum kumtafuta baba yake samahani lakini
 
Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.

Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.

Naweza kumlipa ili asinifuate tena.

Sifa zake

Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.

Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.

Anayejiona anasifa karibu pm.
Khaa!!kha!,Kwa hiyo sisi wanaume wafupi tukomment wapi??.
 
Back
Top Bottom