navache
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 499
- 368
NavacheDoh me nafaa kabisa katika hii tenda, ila sasa mimi kabila Doh, natoka milima ya ugweno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NavacheDoh me nafaa kabisa katika hii tenda, ila sasa mimi kabila Doh, natoka milima ya ugweno.
Watakaojitoa kuwa sperm donor watakuwa wanaroho ngumu sana.Naona Kihuba umeamua kuja kivingine tena!
Malipo ya huyo mwanaume jeCome in baby nipo hapa.
MIMI MBENA WA IRINGA! AM SEREOUSLY ENOUGH! CAN WE?![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Njoo uzae na mahandsome upate mtt mzuri..niambie unataka wa kike au wakiume..by the way ntakupa hitaji lako maana nimesomea udaktari najua jinsia ya mtt inatatwaje pia..njoo dm tuyajenge zaidi..Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.
Naweza kumlipa ili asinifuate tena.
Sifa zake
Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.
Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.
Anayejiona anasifa karibu pm.
Ntakuwa tayari kupima
Khaa!!kha!,Kwa hiyo sisi wanaume wafupi tukomment wapi??.Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu. Namaanisha kbsa.
Nahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo na hii ni kwaajili ya kunipa mimba tu baada ya mimba sitahitaji tena mawasiliano nae, mtoto atakaye zaliwa atakuwa wa kwangu 100%.
Naweza kumlipa ili asinifuate tena.
Sifa zake
Mrefu, Maji ya kunde.
Mume wa MTU
Miaka 34 nakuelendelea
Mwenye uwezo wa kutungisha mimba
Kabila lolote kasoro, mzalamo, mkurya, muhaya, muha , mnyaturu, mpare, mnyakyusa, mnyamwezi na mgogo.
Zingatia kazi ni moja kunipa mimba baada ya mimba kila mtu anashika uelekeo wake.
Anayejiona anasifa karibu pm.