T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Under 25 ofa imenipita hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nshamaliza. Kasome andiko mwenyewe usisubiri kutafuniwa.sasa mbona ulikuwa unahubiri hapo juu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],hilo andiko huwezi kulileta mpaka unakuf
Sent using Jamii Forums mobile app
huwezi kuleta andiko hilo mpaka unakufaMi nshamaliza. Kasome andiko mwenyewe usisubiri kutafuniwa.
ILA UKWELI UNAUMA
Ngoja namimi nicomment nisije nkapitwa na hii bahati
Lete aya ya hiyo miaka 9
Bado unaendelea tu kuchagua, my sister utakosa hata huyo wa kukupa mtoto. Umechangua sana enzi za uajana wako wako sasa hivi jua limezama bado hujaolewa umeshusha viwango lakini suala la ubaguzi bado unalo. Think.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulizotaja hapo sio sifa za sperm donor.. Ni sifa za mume.
Njoo pm tuyajenge mama ishu ni mbegu tu nnazo za kushato
huwezi kuleta andiko hilo mpaka wewe na ukoo wako wote mnakufaLete aya ya hiyo miaka 9
Du kimama mungu kilikuwa kikahaba 13 to 90.
Kimama mungu 13 kwa 90 si mchezo.
yap,mungu allah yule jiwe la makka mnaloliabuduKimama mungu 13 kwa 90 si mchezo.
yaani 77 gap
Mkuu naona unaenda inje ya maada ukitaka maada kuhusu Muhammad zilete kwenye jukwa la Dino/ Imani tukutane huko, acha mambo ya Mwamposa huko.The Icebreaker, mbona mohammad alifanya mapenzi na kitoto cha miaka 9,au unajifanya hujui
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumefika huku kweli?
Malezi bora ya mtoto ni kulelewa na Baba na Mama,mtoto anahitaji mapenzi ya wazazi wake wote wawili,
Haya mambo ya kutafuta mbegu na kuleta kiumbe Duniani kisha wazazi mnamwagana yanatoka wapi?