Mwanaume wa mkoani mwenye haja ya mtoto

Mwanaume wa mkoani mwenye haja ya mtoto

Nimezidi 10 yrs hapo
Habari zenu. nmekuja kwenye jukwa hili nikiwa na uhitaji na mwanaume ambaye baada ya kukubaliana tunaweza kwa pamoja leta kiumbe kipya duniani. wasifu wangu; mimi ni mkristo,mwanamke wa kawaida , najitegemea, nipo mkoani na sijaolewa.

Mwanaume: awe mkazi wa mkoani anayeweza kusafiri toka mkoa aliyopo kuja nilipo, au mimi kwenda alipo itakapo hitajika, umbo la kawaida na afya njema, mkristo, awe na shughuli ya kumwingizia kipato na elimu angalau form six. umri kuanzia 25 mpk 35. Awe hajaoa.

Mkaka aliye na uhitaji kama wangu njoo inbox tuchat na kufahamiana vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada Imelda lengo lako hasa ni mahusiano, ndoa, mbegu kwa ajili ya mtoto wako au mtoto wenu na mwanaume wa mikoani?

Umesema mwanaume wa mkoani, nadhani umewatenga wa Dar (nao wamezidisha chips mayai kha!) Je walio ulaya na marekani je?
Utuombe samahani si wote tunakula chips wengine tunakula dona iliyochanganywa na ulezi na nyama ya nyati, Sato wa mwanza, Sangara wa kubanikwa kutoka Kagera, na ndizi Bukoba na Moshi.
 
imeldaB,
Bado unahitaji kukunyaga ya MWAMBOSA,maana mwendo wako ni ule wa kuminyaminya nyanya na muda si mrefu utachagua biringanya.
 
Back
Top Bottom